Nawasalimu!
Naomba nieleweke nyumba inayotembelewa ndo nyumba yenye baraka. Hivyo nisitafsiriwe kama mchoyo. Ipo hivi nimetembelewa na shemeji zangu wawili mmoja 15 na mwengine 17 hivi,japo nimeshangaa kwetu sio rahisi kutembelewa na shemeji kama dada yao hujamuoa kindoa,sasa kama tulivyo wengi maisha yetu mi naishi kwenye nyumba yenye vyumba vitatu ,kimoja ni stoo ya mpunga na mahindi nilihofia lock down,kwa hiyo natumia vyumba viwili kimoja w atoto na kilichobaki sisi.
Sasa kwa heshima nimeona niwahamishie w atoto sebuleni wao walale kwenye kitanda cha w atoto.
Mambo yaliyo nishangaza kwa ndugu hawa;kuangalia sinema zetu kutwa nzima hadi taarifa ya habari ya saa mbili usiku mpaka niwaombe zaidi ya mara moja ndo waniruhusu, hakuna anaenisalimia asubuhi tunatazama wakati mwingine Mimi huwasalimia,ajabu mmoja alimanusura akeshe kwenye tv bila kujali makelele pale Maana w atoto wamelala kwenye Kochi na kiufupi ni nyumba nzima , sasa kali ya mwaka dogo kagoma kushuka kutoka kiti (office chair)tulikuwa tukula nje kwenye kivuli ,nilipo jaribu kumwambia vipi dogo utakulaje uko juu hivyo kajibu "sili juu nakula chakula". Nikakaa kimyaa. Dogo kasogeza kiti juu ya jamvi. tukala hivyo hivyo.
Jamani sijui wengine mmewahi kuyapitia haya, kwa mbali natamani waondoke hata kesho. Adabu yao ipo chini sijui wamelelewaje?.N.a. dada yao anaangalia tu.
Nawasilisha
(copy &paste).
Naomba nieleweke nyumba inayotembelewa ndo nyumba yenye baraka. Hivyo nisitafsiriwe kama mchoyo. Ipo hivi nimetembelewa na shemeji zangu wawili mmoja 15 na mwengine 17 hivi,japo nimeshangaa kwetu sio rahisi kutembelewa na shemeji kama dada yao hujamuoa kindoa,sasa kama tulivyo wengi maisha yetu mi naishi kwenye nyumba yenye vyumba vitatu ,kimoja ni stoo ya mpunga na mahindi nilihofia lock down,kwa hiyo natumia vyumba viwili kimoja w atoto na kilichobaki sisi.
Sasa kwa heshima nimeona niwahamishie w atoto sebuleni wao walale kwenye kitanda cha w atoto.
Mambo yaliyo nishangaza kwa ndugu hawa;kuangalia sinema zetu kutwa nzima hadi taarifa ya habari ya saa mbili usiku mpaka niwaombe zaidi ya mara moja ndo waniruhusu, hakuna anaenisalimia asubuhi tunatazama wakati mwingine Mimi huwasalimia,ajabu mmoja alimanusura akeshe kwenye tv bila kujali makelele pale Maana w atoto wamelala kwenye Kochi na kiufupi ni nyumba nzima , sasa kali ya mwaka dogo kagoma kushuka kutoka kiti (office chair)tulikuwa tukula nje kwenye kivuli ,nilipo jaribu kumwambia vipi dogo utakulaje uko juu hivyo kajibu "sili juu nakula chakula". Nikakaa kimyaa. Dogo kasogeza kiti juu ya jamvi. tukala hivyo hivyo.
Jamani sijui wengine mmewahi kuyapitia haya, kwa mbali natamani waondoke hata kesho. Adabu yao ipo chini sijui wamelelewaje?.N.a. dada yao anaangalia tu.
Nawasilisha
(copy &paste).