Habari chini ya kapeti zinasema wafuasi wa sheikh ponda kesho wanataraji kuandama mpaka gereza segerea, maandamano haya yataanza baada sara ya alfajiri, lengo la maandamano hayo aijajulikana.
Mimi napenda logic za wafuasi wa CHADEMA. Serikali ikitumia nguvu dhidi ya Waislamu 'safi sana', ikifanya hivyo hivyo kwa CHADEMA makelele! Hapa kuna siri imefichika!
Mimi napenda logic za wafuasi wa CHADEMA. Serikali ikitumia nguvu dhidi ya Waislamu 'safi sana', ikifanya hivyo hivyo kwa CHADEMA makelele! Hapa kuna siri imefichika!
Ulinzi uimarishwe mara dufu, mabomu ya kutosha, flying objects na wakifika tu wafunguliwe waingie na hakuna kutoka hadi hasira zao ziishe.Habari chini ya kapeti zinasema wafuasi wa sheikh ponda kesho wanataraji kuandama mpaka gereza segerea, maandamano haya yataanza baada sara ya alfajiri, lengo la maandamano hayo aijajulikana.
CHADEMA uwa wanafuata utaratifuMimi napenda logic za wafuasi wa CHADEMA. Serikali ikitumia nguvu dhidi ya Waislamu 'safi sana', ikifanya hivyo hivyo kwa CHADEMA makelele! Hapa kuna siri imefichika!
Mabomu yakutosha yaandalie wasije sababisha wafungwa kutoroka hawa ... na risasi za moto kabisa...
Ni kweli hawa wametuma na sijui wanafuata kitabu gani, maana qran tukufu imesema tueshimu mamlaka zetu.Simple reasoning. CDM walishaandamana kumtoa nani polisi? haijawahi tokea. Na mind you, sio waislamu, bali kundi la waislamu wahuni! Waislamu ni watu safi! Hawa ni wahuni.
usifananishe MAN-U NA LIPULI! Ponda si ki-mtu tu, hata mombasa am sure hawamjui!Waleteni kwa wingi tu kamanda Kova hatakil masialal na ujinga wa ujinga wa Ponda na baadhi ya waislamu njaa wasio na shughuli ya kufanya. Jamani hivi huyu Ponda ni zaidi ya Osama?
Mimi napenda logic za wafuasi wa CHADEMA. Serikali ikitumia nguvu dhidi ya Waislamu 'safi sana', ikifanya hivyo hivyo kwa CHADEMA makelele! Hapa kuna siri imefichika!