Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,660
Wamekula na madalali wetuAiseeh waChina wanajua kula hela
Wamekula na madalali wetuAiseeh waChina wanajua kula hela
Hata Lissu ana mwisho au hujui?Hakuna chenye mwanzo kikakosa mwisho..,
Wewe usiwe punguani sheria gani zimevunjwa?Siasa ni kitu kibaya sana ona hii mburura inafurahia sheria za nchi zikivunjwa kisa tu anashabikia kundi livunjalo sheria hizo
Hata ufurahie vipi haitabadili ukweli kuwa nchi hii inahitaji reforms kuanzia kwenye fikra za mburura kama wewe hadi kwenye chaguzi zetu ndani na nje ya vyama
Wamesema wanaandamana lini?Wanaukumbi.
Tumebakiwa na miezi miwili tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu. Bahati mbaya au nzuri Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea sasa hivi wamepanda basi la CCM ambalo hawajui linapoelekea mfano tunaona walivyojaa kwenye mfumo wa CCM.
Nyuzi nyingi za uchaguzi wa CCM hapa JF zinafunguliwa na Pro- Chadema
Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika huko Dodoma kwenye uchaguzi wao kuwa hawamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole.
Wameishamsahu Kamanda Tundu Lissu. Sasa hivi wamejikita kufuatilia mkutana wa CCM na wanataka Rais Samia asichaguliwe yaani wanawapangia CCM namna ya kuendesha uchaguzi wao ni kituko.
Hamna tena No reforms no election sababu wameishapanda basi la CCM hawajui linaenda wapi.
Ushauri wangu kwa Makamanda huu muda uliobaki ni mchache msiutumie kuandamana humu JF na IDs feki, kila mmoja anatakiwa kuaiga familia yake kuwa naenda kwenye mapambano kuikoa Chadema kuzuia Uchaguzi Mkuu naingia barabarani No reforms no election.
Kuna mawili naweza kurudi au nisirudi hii ndiyo njia muhimu kwenu ya kumuenzi Tundu Lissu. Sasa hivi Polepole anaonekana shujaa kwa wafuasi wa Chadema kuzidi Lissu na Heche daaah.
Msikilize kada wako polepole utajua sheria gani zimevunjwa na umburura wakoWewe usiwe punguani sheria gani zimevunjwa?
Haki gani ambayo unaiongelea? Chadema wamesusia uchaguzi kisha wakasema watakinukisha uchaguzi usifanyike sasa hapo lawama unampa nani?Haki haihitaji kutetewa inajipambanua yenyewe furahini tu kwakuwa mpo kundi kandamizaji ni muda wenu
Baadhi ya waislamu wana chuki sana zaidi ya ukristo.Wanaukumbi.
Tumebakiwa na miezi miwili tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu. Bahati mbaya au nzuri Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea sasa hivi wamepanda basi la CCM ambalo hawajui linapoelekea mfano tunaona walivyojaa kwenye mfumo wa CCM.
Nyuzi nyingi za uchaguzi wa CCM hapa JF zinafunguliwa na Pro- Chadema
Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika huko Dodoma kwenye uchaguzi wao kuwa hawamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole.
Wameishamsahu Kamanda Tundu Lissu. Sasa hivi wamejikita kufuatilia mkutana wa CCM na wanataka Rais Samia asichaguliwe yaani wanawapangia CCM namna ya kuendesha uchaguzi wao ni kituko.
Hamna tena No reforms no election sababu wameishapanda basi la CCM hawajui linaenda wapi.
Ushauri wangu kwa Makamanda huu muda uliobaki ni mchache msiutumie kuandamana humu JF na IDs feki, kila mmoja anatakiwa kuaiga familia yake kuwa naenda kwenye mapambano kuikoa Chadema kuzuia Uchaguzi Mkuu naingia barabarani No reforms no election.
Kuna mawili naweza kurudi au nisirudi hii ndiyo njia muhimu kwenu ya kumuenzi Tundu Lissu. Sasa hivi Polepole anaonekana shujaa kwa wafuasi wa Chadema kuzidi Lissu na Heche daaah.
Ni kawaida ya hili jukwaa ukiikosoa ccm unaambiwa ni chadema ukiisifia unaitwa chawa but ukweli ni ukweli tuPolepole msikilize wewe si ndiyo shujaa wenu kwa sasa kila analosema mnamfuata.
Shangilia ushindi mkuu piga vigelegeleeeHaki gani ambayo unaiongelea? Chadema wamesusia uchaguzi kisha wakasema watakinukisha uchaguzi usifanyike sasa hapo lawama unampa nani?
Kwanza nikukumbushe; wewe huiganii CCM humu; na wala siyo mwana CCM; ndiyo maana nakuona kuwa juha mkubwa kabisa.Unauliza swali la kitoto members wa JF tunajuana soma vyuzi hapa Jukwaa la siasa kama una akili timamu utajua.
Mambo ya utanzania yaingiaje nikuulize wewe vipi umejiandaa kuzuia uchaguzi mkuu?
Kwa udini tu hujambooo kobazi uliyekomaaWanaukumbi.
Tumebakiwa na miezi miwili tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu. Bahati mbaya au nzuri Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea sasa hivi wamepanda basi la CCM ambalo hawajui linapoelekea mfano tunaona walivyojaa kwenye mfumo wa CCM.
Nyuzi nyingi za uchaguzi wa CCM hapa JF zinafunguliwa na Pro- Chadema
Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika huko Dodoma kwenye uchaguzi wao kuwa hawamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole.
Wameishamsahu Kamanda Tundu Lissu. Sasa hivi wamejikita kufuatilia mkutana wa CCM na wanataka Rais Samia asichaguliwe yaani wanawapangia CCM namna ya kuendesha uchaguzi wao ni kituko.
Hamna tena No reforms no election sababu wameishapanda basi la CCM hawajui linaenda wapi.
Ushauri wangu kwa Makamanda huu muda uliobaki ni mchache msiutumie kuandamana humu JF na IDs feki, kila mmoja anatakiwa kuaiga familia yake kuwa naenda kwenye mapambano kuikoa Chadema kuzuia Uchaguzi Mkuu naingia barabarani No reforms no election.
Kuna mawili naweza kurudi au nisirudi hii ndiyo njia muhimu kwenu ya kumuenzi Tundu Lissu. Sasa hivi Polepole anaonekana shujaa kwa wafuasi wa Chadema kuzidi Lissu na Heche daaah.