GE2025 Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea

GE2025 Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Sawa, for the sake of forgoing unnecessary arguments based on unsubstantiated accusations.

Maana umeshindwa thibitisha hilo genge lililoteka chama, hoja ambayo umeileta wewe.
Ni waPi nimeshindwa kuthibitisha. Kila siku humu natoa mifano ya watu husika ndani ya GENGE hilo, na bado unakuja kunitaka nithibitishe? Samia humjui; Kikwete humjui; wakuu wa vitengo kadhaa, wateule wa Samia huwajui; maaskari, olisi wanaofanya kazi za GENGE huwajui?

Sasa wewe unasemaje; kwamba chama cha CCM (chama ambacho unakitetea mara kwa mara humu); ndio wanao simamia mambo ya aibu yanayofanyika humu nchini wakati huu?
Unazo akili za kufikiri, lakini unazizima tu kwa vile unachukia viongozi au baadhi ya vyama wanaoinga maovu yanayofanywa chimi ya Samia na GENGE lake kwa kutumia jina la CCM? Wewe utakuwa ni mtu wa aina gani usiyeweza kupambanua haya kama siyo mmoja wa kundi hilo la watu waovu!
 
Wewe punguani nenda kwanza kajifundishe kuandika kila rudi hapa pumbavu.
Sasa tunaanza kuelewana; kwa sababu unatoka katika maficho ya kiulaghai kama afanyavyo Samia Suluhu na GENGE lenu wote.
Acheni kujificha ndani ya U-CCM, wakati mkiwa na ajenda inayojulikana siku zote.
Kama ulivyo sema mwenyewe, wachangiaji humu JF wanajuana kwa muda mrefu. Sasa usijifanye wewe hujulikani.
 
Ndiyo maana nakuita punguani unasema wewe siyo mwanachama wa chama chochote😀
Kwani wewe ndiye unayetaka kuniPangia chama, wewe ni nani?
Ndiyo, mimi ninacho chama cha kudumu, nilizaliwa nacho na nitakufa nacho. Hicho chama ni uTanzania wangu.
Na usifikiri sikuwahi kuiPenda CCM; lakini siwezi kushabikia chama kilicho tekwa na GENGE la Samia Suluhu Hassan. NEVER!
 
Makamanda tujitokeze kwa wingi tuingie barabarani tukinukishe tuzuishe uchaguzi tuziage kabisa familia zetu tunaweza tusirudi.
GENGE lenu ukomo wake umefika sasa. Hamna tena pa kujificha. CCM wamezinduka
 
CCM inajua inapokwenda?kikundi cha watu 12 wananufaika na chama !!dira Yao ni vijana wawe na ajira lakini maajabu wamefunga mitandao Kwa kuingia na VPN ,Karne ya 21🚮😆😁😂
 
Wewe ndiyo una chuki na Waislam.

Ukitaka mambo ya dini nenda jukwaa la dini.
Post yako yenyewe ni ya dini. Hujawahi post chochote humu kisichohusiana na dini.
Wewe ni mdini na mnafahamika.
 
Hahahahh Bavicha bana😂
Mimi huwa siyumbishwi na vicheko vya kipuuzi aina hiyo unayofanya hapa. Ni tabia hiyo hiyo ya kilaghai anayoitumia Samia Suluhu Hassan, huku akifanya maovu makubwa kwa nchi hii.
 
Mimi huwa siyumbishwi na vicheko vya kipuuzi aina hiyo unayofanya hapa. Ni tabia hiyo hiyo ya kilaghai anayoitumia Samia Suluhu Hassan, huku akifanya maovu makubwa kwa nchi hii.
Hahahha nani kakuambia anakuyumbisha kwanza hata sikufahamu takuyumbusha vipi nacheka tu vijana wa Ufipa wameweka kambi Dodoma😂
 
Hahahha nani kakuambia anakuyumbisha kwanza hata sikufahamu takuyumbusha vipi nacheka tu vijana wa Ufipa wameweka kambi Dodoma😂
Unifahamu au usinifahamu, nitakupasha ukweli wako. Watu wa aina yako ndio maadui wakubwa sana wa taifa letu.
 
Unifahamu au usinifahamu, nitakupasha ukweli wako. Watu wa aina yako ndio maadui wakubwa sana wa taifa letu.
Sawa jiandae kuingia barabarani na bango kubwa limeandikwa No reforms no election uzue uchaguzi,
 
Sawa jiandae kuingia barabarani na bango kubwa limeandikwa No reforms no election uzue uchaguzi,
Hilo la "kuingia barabarani" huwa mna lilia sana nyinyi msiojali uhai wa waTanzania. Hili mnalihimiza sana ili mpate njia ya kutokea kwenye kibano kinacho endelea kuwabana mbavu.
Fursa hiyo safari hii hampati, na hamtajua dhoruba limeibukia wapi kuwafagilia mbali, wapuuzi nyinyi.
 
CHADEMA walifikia kiwango cha juu kabisa cha kufanya upumbavu na kujiona wao ndiyo wanaamua hatma ya maisha ya watu ndani ya Tanzania.Yaani walifika mahali wanachofikiria wao basi ndiyo mawazo ya kila mtanzania na anayefikiri tofauti basi ni adui wao mkubwa.
 
Hilo la "kuingia barabarani" huwa mna lilia sana nyinyi msiojali uhai wa waTanzania. Hili mnalihimiza sana ili mpate njia ya kutokea kwenye kibano kinacho endelea kuwabana mbavu.
Fursa hiyo safari hii hampati, na hamtajua dhoruba limeibukia wapi kuwafagilia mbali, wapuuzi nyinyi.
UFIPA tarehe ya uchaguzi ni 29.10.2025 mnazuia uchaguzi 🤣🤣
 
Chadema walishasema hawatashiriki uchaguzi kuendelea kuwaongelea ni kupoteza mda Chauma vipi?
 
Somo fupi kwa wasio ielewa CCM, hilo ni dubwasha kubwa sana.

CCM ina wanasiasa ambao wamekulia ndani ya chama na kutengenezwa kuwa viongozi mfano Mwigulu, Bashungwa, Biteko, Nape na ghasia wengine wa hovyo leo kama mawaziri.

CCM pia ina walinzi wake (wing ya usalama wa taifa) ambao sio lazima wote uwa wanasiasa ila wanalelewa kuhakikisha CCM inabaki madarakani na Ina wahudumia wananchi; mfano Rajabu Lhuwavi.

Asilimia kubwa ya mawaziri ni vijana waliopikwa na CCM kushika madaraka (ni wanasiasa tu) na kuna watu kama Polepole wanatokea angle zingine za chama za ulinzi hadi kuwa wanasiasa (wapo wengi ila rarely kuwa wanasiasa).

Ndio maana Polepole anaita CCM chama chetu (elewa nyuma yake kuna nguvu kubwa).

CCM sio ya mzaha-mzaha usidhani wahuni wanaweza kukichukua hiko chama kirahisi tu, halafu walinzi wake wawaangalie tu.

Watch this space.

Tanzania ni nchi imara
Yes wahuni wameshinda kwa mda
 
CDM Ni dude kubwa..Hadi Mwenyekiti yupo ndani (Ili sa100 apite bila kupingwa_ hii Ni aibu y Karne, Na historia utanikumbuka kuwa ndiye Rais pekee baada YA mfumo Wa vyama vingi ambaye aliteuliwa Na tume na kupita bila kupingwa

Kama CCM Ni wanaume twendeni Kati kwenye mfumo Ulio bora
Mfumo bora ni upi?
 
Chadema walishasema hawatashiriki uchaguzi kuendelea kuwaongelea ni kupoteza mda Chauma vipi?
Nyakati huwa zina kawaida ya kuja na kupita na sasa zile nyakati zenu ni kama zilipita na hawaamini kama leo hii hawana uwezo wa kukusanya watu na kuandamana na wamebakia kuwa watu wa kuimba ma slogan tu mara No Reform No Election , sijui One Love blah blah nini. Yaani ili mradi tu kila siku wawe wamechanganyikiwa yaaani.
 
Back
Top Bottom