GE2025 Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea

GE2025 Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
CCM sio ya mzaha-mzaha usidhani wahuni wanaweza kukichukua hiko chama kirahisi tu, halafu walinzi wake wawaangalie tu.

Watch this space.

Tanzania ni nchi imara
Wote hao walikuwa wapi wakati chama kinavamiwa na GENGE!
Unajuwa GENGE ni kina nani?
 
CDM Ni dude kubwa..Hadi Mwenyekiti yupo ndani (Ili sa100 apite bila kupingwa_ hii Ni aibu y Karne, Na historia utanikumbuka kuwa ndiye Rais pekee baada YA mfumo Wa vyama vingi ambaye aliteuliwa Na tume na kupita bila kupingwa

Kama CCM Ni wanaume twendeni Kati kwenye mfumo Ulio bora
Kuteuliwa na tume ndio nini, kwenye uchaguzi kuna vyama 18 chagueni kiongozi mnayemtaka huko, nyie kwl ni nyumbu. Ht wangekuja hilo bunge la Ulaya kusimamia uchaguzi Samia angeshinda kwa kura nyingi sana
 
Umejuaje wanaolalamika ni CHADEMA. Umekagua kadi zao za uanachama wa chama hicho?
Na hata wangekuwa ni wa CHADEMA, wao siyo waTanzania?
Unauliza swali la kitoto members wa JF tunajuana soma vyuzi hapa Jukwaa la siasa kama una akili timamu utajua.

Mambo ya utanzania yaingiaje nikuulize wewe vipi umejiandaa kuzuia uchaguzi mkuu?
 
Unauliza swali la kitoto members wa JF tunajuana soma vyuzi hapa Jukwaa la siasa kama una akili timamu utajua.

Mambo ya utanzania yaingiaje nikuulize wewe vipi umejiandaa kuzuia uchaguzi mkuu?
Ni bora kabisa kuwa na akili za kitoto, kuliko kuwa na akili za kiPumbavu kama ulizo nazo wewe, kudhani kila anaye jadili mada za vyama vya siasa ni mwanachama wa chama cha siasa.

CCM unayoidai haPa inafanyia kazi zake wapi kama siyo Tanzania? Hili nalo kwako unaona hakuna uhusika wa waTanzania?
 
Wanaukumbi.

Tumebakiwa na miezi miwili tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu. Bahati mbaya au nzuri Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea sasa hivi wamepanda basi la CCM ambalo hawajui linapoelekea mfano tunaona walivyojaa kwenye mfumo wa CCM.

Nyuzi nyingi za uchaguzi wa CCM hapa JF zinafunguliwa na Pro- Chadema
Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika huko Dodoma kwenye uchaguzi wao kuwa hawamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole.

Wameishamsahu Kamanda Tundu Lissu. Sasa hivi wamejikita kufuatilia mkutana wa CCM na wanataka Rais Samia asichaguliwe yaani wanawapangia CCM namna ya kuendesha uchaguzi wao ni kituko.

Hamna tena No reforms no election sababu wameishapanda basi la CCM hawajui linaenda wapi.

Ushauri wangu kwa Makamanda huu muda uliobaki ni mchache msiutumie kuandamana humu JF na IDs feki, kila mmoja anatakiwa kuaiga familia yake kuwa naenda kwenye mapambano kuikoa Chadema kuzuia Uchaguzi Mkuu naingia barabarani No reforms no election.

Kuna mawili naweza kurudi au nisirudi hii ndiyo njia muhimu kwenu ya kumuenzi Tundu Lissu. Sasa hivi Polepole anaonekana shujaa kwa wafuasi wa Chadema kuzidi Lissu na Heche daaah.
weka uchaguzi huru na haki utapata jibu wanaelekea wapi.....
 
Basi tulia kwanza, utajuwa GENGE ni nani ndani ya CCM chama kitakaPo jisafisha tena karibuni.
Sawa, for the sake of forgoing unnecessary arguments based on unsubstantiated accusations.

Maana umeshindwa thibitisha hilo genge lililoteka chama, hoja ambayo umeileta wewe.
 
Kwa hiyo hamna tena No reforms no election mbona mnamsaliti Kamanda Lissu. Hamtaki kuingia barabarani kukinukisha? Mmeamua kuandamana humu humu JF?

Mmepanda basi la CCM hamjui linaelekea wapi 😃
Unailaumu Cdm kukaa kuzungumzia maswala ya Ccm kutwa kucha. Huku nawe ukishinda kutwa kucha ukihangaika kuzungumza ya Cdm ?!. Tofauti yako na wana Cdm ni nini !!

Mnajinasibu kuwa Ohhh Ccm inapendwa na ina wafuasi wengi. Mara ohhh Samia anapendwa , na amefanya makuu. Lakini ajabu hamtaki uchaguzi ulio huru na haki ?!. Ili ashindane na wengine. Mnataka uchaguzi mnaouiremoti !!.
 
Wanaukumbi.

Tumebakiwa na miezi miwili tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu. Bahati mbaya au nzuri Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea sasa hivi wamepanda basi la CCM ambalo hawajui linapoelekea mfano tunaona walivyojaa kwenye mfumo wa CCM.

Nyuzi nyingi za uchaguzi wa CCM hapa JF zinafunguliwa na Pro- Chadema
Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika huko Dodoma kwenye uchaguzi wao kuwa hawamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole.

Wameishamsahu Kamanda Tundu Lissu. Sasa hivi wamejikita kufuatilia mkutana wa CCM na wanataka Rais Samia asichaguliwe yaani wanawapangia CCM namna ya kuendesha uchaguzi wao ni kituko.

Hamna tena No reforms no election sababu wameishapanda basi la CCM hawajui linaenda wapi.

Ushauri wangu kwa Makamanda huu muda uliobaki ni mchache msiutumie kuandamana humu JF na IDs feki, kila mmoja anatakiwa kuaiga familia yake kuwa naenda kwenye mapambano kuikoa Chadema kuzuia Uchaguzi Mkuu naingia barabarani No reforms no election.

Kuna mawili naweza kurudi au nisirudi hii ndiyo njia muhimu kwenu ya kumuenzi Tundu Lissu. Sasa hivi Polepole anaonekana shujaa kwa wafuasi wa Chadema kuzidi Lissu na Heche daaah.
Mimi mpaka nimeanza kuwaonea huruma!
 
Unailaumu Cdm kukaa kuzungumzia maswala ya Ccm kutwa kucha. Huku nawe ukishinda kutwa kucha ukihangaika kuzungumza ya Cdm ?!. Tofauti yako na wana Cdm ni nini !!

Mnajinasibu kuwa Ohhh Ccm inapendwa na ina wafuasi wengi. Mara ohhh Samia anapendwa , na amefanya makuu. Lakini ajabu hamtaki uchaguzi ulio huru na haki ?!. Ili ashindane na wengine. Mnataka uchaguzi mnaouiremoti !!.
Wapi nimelaumu?

Mimi sina muda wa kufuatilia mkutano wa Chadema.

Nashangaa Chadema wanamgombea wao Dodomo wanamtaka Polepole.

Vipi wewe utazui uchaguzi au maneno ya Lissu mmeyqpuuza.
 
Wanaukumbi.

Tumebakiwa na miezi miwili tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu. Bahati mbaya au nzuri Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea sasa hivi wamepanda basi la CCM ambalo hawajui linapoelekea mfano tunaona walivyojaa kwenye mfumo wa CCM.

Nyuzi nyingi za uchaguzi wa CCM hapa JF zinafunguliwa na Pro- Chadema
Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika huko Dodoma kwenye uchaguzi wao kuwa hawamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole.

Wameishamsahu Kamanda Tundu Lissu. Sasa hivi wamejikita kufuatilia mkutana wa CCM na wanataka Rais Samia asichaguliwe yaani wanawapangia CCM namna ya kuendesha uchaguzi wao ni kituko.

Hamna tena No reforms no election sababu wameishapanda basi la CCM hawajui linaenda wapi.

Ushauri wangu kwa Makamanda huu muda uliobaki ni mchache msiutumie kuandamana humu JF na IDs feki, kila mmoja anatakiwa kuaiga familia yake kuwa naenda kwenye mapambano kuikoa Chadema kuzuia Uchaguzi Mkuu naingia barabarani No reforms no election.

Kuna mawili naweza kurudi au nisirudi hii ndiyo njia muhimu kwenu ya kumuenzi Tundu Lissu. Sasa hivi Polepole anaonekana shujaa kwa wafuasi wa Chadema kuzidi Lissu na Heche daaah.
Wewe binafsi upo wapi 😤 😜 au waupo ubwabwani?!
 
Back
Top Bottom