GE2025 Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea

GE2025 Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
CDM Ni dude kubwa..Hadi Mwenyekiti yupo ndani (Ili sa100 apite bila kupingwa_ hii Ni aibu y Karne, Na historia
No Reform No Election imekufa. Angalia mwana-CHADEMA anavyoandika- Yaani anamaanisha M/Kiti wa CDM -Lissu akiachiwa leo ataingia katika uchaguzi kushindana na RaisSamia.
Kumbe wanatuhadaa tu hawa CHADEMA. Uhalisia ni kuwa NO REFORM NO ELECTION haipo.
 
Ni bora kabisa kuwa na akili za kitoto, kuliko kuwa na akili za kiPumbavu kama ulizo nazo wewe, kudhani kila anaye jadili mada za vyama vya siasa ni mwanachama wa chama cha siasa.

CCM unayoidai haPa inafanyia kazi zake wapi kama siyo Tanzania? Hili nalo kwako unaona hakuna uhusika wa waTanzania?
Wewe punguani nenda kwanza kajifundishe kuandika kila rudi hapa pumbavu.
 
Kumbuka kuwa Cahdema ni watu wanaojitambua kuliko wa CCM tena saaaaaana!
Wanajitambua vipi wameachana na Lissu. Hamna tena No reforms no election sasa hivi wamejikita Dodoma wapo kambi ya Polepole😀
 
Basi tulia kwanza, utajuwa GENGE ni nani ndani ya CCM chama kitakaPo jisafisha tena karibuni.
Ndiyo maana nakuita punguani unasema wewe siyo mwanachama wa chama chochote😀
 
Somo fupi kwa wasio ielewa CCM, hilo ni dubwasha kubwa sana.

CCM ina wanasiasa ambao wamekulia ndani ya chama na kutengenezwa kuwa viongozi mfano Mwigulu, Bashungwa, Biteko, Nape na ghasia wengine wa hovyo leo kama mawaziri.

CCM pia ina walinzi wake (wing ya usalama wa taifa) ambao sio lazima wote uwa wanasiasa ila wanalelewa kuhakikisha CCM inabaki madarakani na Ina wahudumia wananchi; mfano Rajabu Lhuwavi.

Asilimia kubwa ya mawaziri ni vijana waliopikwa na CCM kushika madaraka (ni wanasiasa tu) na kuna watu kama Polepole wanatokea angle zingine za chama za ulinzi hadi kuwa wanasiasa (wapo wengi ila rarely kuwa wanasiasa).

Ndio maana Polepole anaita CCM chama chetu (elewa nyuma yake kuna nguvu kubwa).

CCM sio ya mzaha-mzaha usidhani wahuni wanaweza kukichukua hiko chama kirahisi tu, halafu walinzi wake wawaangalie tu.

Watch this space.

Tanzania ni nchi imara
gazeti reefu mwisho wa siku nchi inanuka rushwa,ufisadi,umasikini wa viwangu vya juu
 
Wanaukumbi.

Tumebakiwa na miezi miwili tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu. Bahati mbaya au nzuri Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea sasa hivi wamepanda basi la CCM ambalo hawajui linapoelekea mfano tunaona walivyojaa kwenye mfumo wa CCM.

Nyuzi nyingi za uchaguzi wa CCM hapa JF zinafunguliwa na Pro- Chadema
Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika huko Dodoma kwenye uchaguzi wao kuwa hawamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole.

Wameishamsahu Kamanda Tundu Lissu. Sasa hivi wamejikita kufuatilia mkutana wa CCM na wanataka Rais Samia asichaguliwe yaani wanawapangia CCM namna ya kuendesha uchaguzi wao ni kituko.

Hamna tena No reforms no election sababu wameishapanda basi la CCM hawajui linaenda wapi.

Ushauri wangu kwa Makamanda huu muda uliobaki ni mchache msiutumie kuandamana humu JF na IDs feki, kila mmoja anatakiwa kuaiga familia yake kuwa naenda kwenye mapambano kuikoa Chadema kuzuia Uchaguzi Mkuu naingia barabarani No reforms no election.

Kuna mawili naweza kurudi au nisirudi hii ndiyo njia muhimu kwenu ya kumuenzi Tundu Lissu. Sasa hivi Polepole anaonekana shujaa kwa wafuasi wa Chadema kuzidi Lissu na Heche daaah.
Una Akili ndogo sana yaani ww ni bwege kweli, CHADEMA haipo hapo unapotaka ww, CHADEMA inamjua sana Polepole kabla hujazaliwa mwaka 2001, CHADEMA inamjua muasisi wa uvunjaji wa Sheria za uchaguzi ni Polepole,nasikitika kwamba hujui hilo,endelea kuota ndogo unaruhusiwa.
 
Kwa hiyo hamna tena No reforms no election mbona mnamsaliti Kamanda Lissu. Hamtaki kuingia barabarani kukinukisha? Mmeamua kuandamana humu humu JF?

Mmepanda basi la CCM hamjui linaelekea wapi 😃
Hatupigi kura sisi
 
Wanaukumbi.

Tumebakiwa na miezi miwili tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu. Bahati mbaya au nzuri Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea sasa hivi wamepanda basi la CCM ambalo hawajui linapoelekea mfano tunaona walivyojaa kwenye mfumo wa CCM.

Nyuzi nyingi za uchaguzi wa CCM hapa JF zinafunguliwa na Pro- Chadema
Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika huko Dodoma kwenye uchaguzi wao kuwa hawamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole.

Wameishamsahu Kamanda Tundu Lissu. Sasa hivi wamejikita kufuatilia mkutana wa CCM na wanataka Rais Samia asichaguliwe yaani wanawapangia CCM namna ya kuendesha uchaguzi wao ni kituko.

Hamna tena No reforms no election sababu wameishapanda basi la CCM hawajui linaenda wapi.

Ushauri wangu kwa Makamanda huu muda uliobaki ni mchache msiutumie kuandamana humu JF na IDs feki, kila mmoja anatakiwa kuaiga familia yake kuwa naenda kwenye mapambano kuikoa Chadema kuzuia Uchaguzi Mkuu naingia barabarani No reforms no election.

Kuna mawili naweza kurudi au nisirudi hii ndiyo njia muhimu kwenu ya kumuenzi Tundu Lissu. Sasa hivi Polepole anaonekana shujaa kwa wafuasi wa Chadema kuzidi Lissu na Heche daaah.
Naona umetoka kuroga...

Punguza hangover ya kula kinyesi....

Relax, burudika na ngoma hii labda akili yako inaweza kuwa activated kukufanya uwaze na kufikiri vizuri kabla kumwaga pumba zako kupitia midomo yako michafu hiyo...


View: https://youtu.be/CEbVY0b3PD4?si=tjUqnP5HM4lEZb5w
 
Una Akili ndogo sana yaani ww ni bwege kweli, CHADEMA haipo hapo unapotaka ww, CHADEMA inamjua sana Polepole kabla hujazaliwa mwaka 2001, CHADEMA inamjua muasisi wa uvunjaji wa Sheria za uchaguzi ni Polepole,nasikitika kwamba hujui hilo,endelea kuota ndogo unaruhusiwa.
Punguani lingine la Bavicha linatokwa na povi vipi utaingia barabarani kuzuia uchaguzi au hamna tena No reforms no election mmemsaliti Tundu Lissu, mpo dodoma😀
 
Punguani lingine hili la Ufipa alitaki tena No reforms no election😀
Pumbavu wewe na punguani wewe mwenyewe na ukoo wako wote...

Mimi niko zangu Shinyanga unaniambia habari za Ufipa na wafipa wa Sumbawanga/Rukwa ili ieweje..??

Umeburudika na hiyo ngoma lakini? Au hujalipwa B7 yako mwana Lumumba ili upate MB kwa ajili ya internet..??
 
Wanaukumbi.

Tumebakiwa na miezi miwili tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu. Bahati mbaya au nzuri Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea sasa hivi wamepanda basi la CCM ambalo hawajui linapoelekea mfano tunaona walivyojaa kwenye mfumo wa CCM.

Nyuzi nyingi za uchaguzi wa CCM hapa JF zinafunguliwa na Pro- Chadema
Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika huko Dodoma kwenye uchaguzi wao kuwa hawamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole.

Wameishamsahu Kamanda Tundu Lissu. Sasa hivi wamejikita kufuatilia mkutana wa CCM na wanataka Rais Samia asichaguliwe yaani wanawapangia CCM namna ya kuendesha uchaguzi wao ni kituko.

Hamna tena No reforms no election sababu wameishapanda basi la CCM hawajui linaenda wapi.

Ushauri wangu kwa Makamanda huu muda uliobaki ni mchache msiutumie kuandamana humu JF na IDs feki, kila mmoja anatakiwa kuaiga familia yake kuwa naenda kwenye mapambano kuikoa Chadema kuzuia Uchaguzi Mkuu naingia barabarani No reforms no election.

Kuna mawili naweza kurudi au nisirudi hii ndiyo njia muhimu kwenu ya kumuenzi Tundu Lissu. Sasa hivi Polepole anaonekana shujaa kwa wafuasi wa Chadema kuzidi Lissu na Heche daaah.

Ungejikita zaidi Gaza huko ungekuwa umejitendea haki zaidi. Au nasema uongo? Ya CHADEMA siyo size yako.
 
Pumbavu wewe na punguani wewe mwenyewe na ukoo wako wote...

Mimi niko zangu Shinyanga unaniambia habari za Ufipa na wafipa wa Sumbawanga/Rukwa ili ieweje..??

Umeburudika na hiyo ngoma lakini? Au hujalipwa B7 yako mwana Lumumba ili upate MB kwa ajili ya internet..??
Wewe Punguani kweli nani kakuuliza upo wapi? Wewe utakuwa Chadema-Kata hujui hata Ufipa ni wapi😀

Sasa umekasirika nini uchaguzi bado miezi miwili kaige familia yako uingie barabarani na bango la No reforms no election uone shughuli😀
 
Ungejukita zaidi Gaza huko ungekuwa umejitendea haki zaidi. Au nasema uongo? Ya CHADEMA siyo size yako.
Ungejukita ndiyo nini?

Vipi utaingia barabarani kuzuia uchaguzi.

Hamna tena No reforms no election😀
 
Makamanda tujitokeze kwa wingi tuingie barabarani tukinukishe tuzuishe uchaguzi tuziage kabisa familia zetu tunaweza tusirudi.
 
Back
Top Bottom