Wafanyakazi wa serikali changamoto

Wafanyakazi wa serikali changamoto

Yaan uki mkopesha mtu wa serikali au anae tegemea mshahara kulipwa ni changamoto sana lazima msumbuane mshikane mashart sijui kwanini?

Kuna namna wanarudisha watu nyumaa sana kwanini mna kuwa wasumbufu emby jibuni hapa
Apo ni buku kumi tu umekuja kutusimanga na kutuvua nguo watumishi wote humu
 
Mi majibu yangu hayaendani na sura yangu ya kutia huruma Bro.
Basi napiga kimya, na ndiyo kimya milele hivo ka'mfu.😂
Kuna mmoja alisema tulikuwa tunaongea vzr tu akaseme wanyakyusa mna dharau sana af wachafu nika mwambia vip dada yako alizalishwa na mnyaki akakuachia umleee shahawa zake au? Mpaka leo hajawai kutoa kejali kwangu
 
Dawa yao mtishie kwenda kwa mwajiri wake.
Ambae ni TAMISEMI AU SERIKALI KUU...BY THE WAY HURUHUSIWI KUKOPESHA KAMA HAUNA KIBALI CHA BOT.......

So ukikopesha mtu jua umemuhazimisha kidugu otherwise wengine hutumia hiyo advantage kuumiza wengine

Mdogo angu mwachii akikurudishia piga chiniii oOoOO oohhh😲 utapata hasara..
 
Ambae ni TAMISEMI AU SERIKALI KUU...BY THE WAY HURUHUSIWI KUKOPESHA KAMA HAUNA KIBARI CHA BOT.......

So ukikopesha mtu jua umemuhazimisha kidugu otherwise wengine hutumia hiyo advantage kuumiza wengine

Mdogo angu mwachii akikurudishia piga chiniii oOoOO oohhh😲 utapata hasara..
Nishaingia hasara mpaka hapa
 
Kuna mmoja alisema tulikuwa tunaongea vzr tu akaseme wanyakyusa mna dharau sana af wachafu nika mwambia vip dada yako alizalishwa na mnyaki akakuachia umleee shahawa zake au? Mpaka leo hajawai kutoa kejali kwangu
Halafu yeye kabila lake sasa lilivo😂.
Ijubha itata mfwile.
Nilichogundua waja wana inferiority complex sana juu yetu, ndiyo vita kwa sana.

Yaani wanyakyusa:
"Mnapenda kujitenga.
Mnajiona.
Mna kiburi.
Jeuri sana.
Dada zenu ninyi eeh!
Mna dharau.
Eeh mna majungu.
Wanafiki sana.
Dharau.
Wazinzi ninyi tusiwaone hivo."

Mpaka unajiuliza kila baya letu, kwani sisi wapwa wa shetani ama?😂

Mazuri yako akhu! Hatuyaoni hayo, na madhaifu yetu hapana "mwanadamu hajakamilika"
 
Yaan uki mkopesha mtu wa serikali au anae tegemea mshahara kulipwa ni changamoto sana lazima msumbuane mshikane mashart sijui kwanini?

Kuna namna wanarudisha watu nyumaa sana kwanini mna kuwa wasumbufu emby jibuni hapa
Nenda halmashauri anayofanyia muone HR wake amshughulikie. Ni kosa kisheria mtumishi wa serikali kukopa kwa watu binafsi mtaani. Ni lazima akope benki au taasisi inayotambulika na benki kuu TU!
 
Halafu yeye kabila lake sasa lilivo😂.
Ijubha itata mfwile.
Nilichogundua waja wana inferiority complex sana juu yetu, ndiyo vita kwa sana.

Yaani wanyakyusa:
"Mnapenda kujitenga.
Mnajiona.
Mna kiburi.
Jeuri sana.
Dada zenu ninyi eeh!
Mna dharau.
Eeh mna majungu.
Wanafiki sana.
Dharau.
Wazinzi ninyi tusiwaone hivo."

Mpaka unajiuliza kila baya letu, kwani sisi wapwa wa shetani ama?😂

Mazuri yako akhu! Hatuyaoni hayo, na madhaifu yetu hapana "mwanadamu hajakamilika"
Mimi huwa naongeza
Mwalo masomaso tu ubupube
 
Back
Top Bottom