Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 649
- 884
Nilimkopesha jamaa mmoja, aiseee yule jamaa siku naenda kumdai daaah alichonijibu mpaka nikamshangaa alisema hivi " sina hela yako, afu we siyo mtu wa kwanza kukukopa nadaiwa na matajiri sembuse wewe unakuja kunikoromea subiri siku nilijisikia kukupa nitakupa" daah yule jamaa nilimuangalia hasira zilipanda ila nikajikqza tu nikasepa zangu maana tungepelekana monchwari