Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 2,563
- 3,203
Una matatizo hakikaYaan uki mkopesha mtu wa serikali au anae tegemea mshahara kulipwa ni changamoto sana lazima msumbuane mshikane mashart sijui kwanini?
Kuna namna wanarudisha watu nyumaa sana kwanini mna kuwa wasumbufu emby jibuni hapa