Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
- Thread starter
- #121
Dah nitafanya ivyoNenda halmashauri anayofanyia muone HR wake amshughulikie. Ni kosa kisheria mtumishi wa serikali kukopa kwa watu binafsi mtaani. Ni lazima akope benki au taasisi inayotambulika na benki kuu TU!