Wafanyakazi wa serikali changamoto

Wafanyakazi wa serikali changamoto

So mimi now nani ana nitatulia shida
NDIO MAANA NIKASEMA KWA MAONI YANGU, USIMSAIDIE MTU PESA AMBAYO KAMA AKICHELEWA AU ASIPOLITA ITAKUATHIRI WEWE BAADAE....
MFANO
UNA MILIONI 1 TAREHE 1 SPTEMBER
MATUMIZI HADI SEPTEMBER 20 NI LAKI 8
AKIBA LAKI 1
HALAFU KUNA LAKI 1 HII HAINA MATUMIZI
HALAFU TAREHE 1 OCTOBER UNAPATA MILIONI 1 NYINGINE

KWA MFANO HUU,KUNA LAKI MOJA AMBAYO HAINA MATUMIZI SEPTEMBER, HII NDO MTU AKIKUKOPA UNAWEZA KUMKOPESHA LABDA 30....MAANA AKICHELEWA KULIPA AU ASIPOLIPA HAITAKUATHIRI...

TOFAUTI NA HIVI, MWAMBIE HUNA PESA YA KUMKOPESHA
 
Tatizo tunakopesha tunachokitegemea. Mtu unajijua pesa yako ya kuunga unga halafu unamkopesha mtu kama sio kutafuta lawama ni nini? Mambo ya kukipesha pesa waachie wenye uwezo na pesa ya ziada vinginevyo utakuja hapa kulialia
 
NDIO MAANA NIKASEMA KWA MAONI YANGU, USIMSAIDIE MTU PESA AMBAYO KAMA AKICHELEWA AU ASIPOLITA ITAKUATHIRI WEWE BAADAE....
MFANO
UNA MILIONI 1 TAREHE 1 SPTEMBER
MATUMIZI HADI SEPTEMBER 20 NI LAKI 8
AKIBA LAKI 1
HALAFU KUNA LAKI 1 HII HAINA MATUMIZI
HALAFU TAREHE 1 OCTOBER UNAPATA MILIONI 1 NYINGINE

KWA MFANO HUU,KUNA LAKI MOJA AMBAYO HAINA MATUMIZI SEPTEMBER, HII NDO MTU AKIKUKOPA UNAWEZA KUMKOPESHA LABDA 30....MAANA AKICHELEWA KULIPA AU ASIPOLIPA HAITAKUATHIRI...

TOFAUTI NA HIVI, MWAMBIE HUNA PESA YA KUMKOPESHA
Duh dawa
 
Yaan uki mkopesha mtu wa serikali au anae tegemea mshahara kulipwa ni changamoto sana lazima msumbuane mshikane mashart sijui kwanini?

Kuna namna wanarudisha watu nyumaa sana kwanini mna kuwa wasumbufu emby jibuni hapa
Nikopeshe mimi mama ntilie sina shida kabisa kwenye kulipa 😀😀
 
Tatizo tunakopesha tunachokitegemea. Mtu unajijua pesa yako ya kuunga unga halafu unamkopesha mtu kama sio kutafuta lawama ni nini? Mambo ya kukipesha pesa waachie wenye uwezo na pesa ya ziada vinginevyo utakuja hapa kulialia
Ndio kama hivi nalia lia hapa
 
Back
Top Bottom