Wafanyakazi wa serikali changamoto

Wafanyakazi wa serikali changamoto

Yaan uki mkopesha mtu wa serikali au anae tegemea mshahara kulipwa ni changamoto sana lazima msumbuane mshikane mashart sijui kwanini?

Kuna namna wanarudisha watu nyumaa sana kwanini mna kuwa wasumbufu emby jibuni hapa
Kwenye swala la kukopesha pesa kwa sasa hivi sio kwa mtumishi wa serikali tu yaani kila upande pesa ni ngumu mno
 
Kuna watu ni manunda sugu.Hata ukienda,achilia mbali kumtishia Unapoteza muda tu.
Kuna jinsi ya kumtisha.... we unafikiri unamwambia tu kilegevu eti naenda kwa mwajiri wako.... nooo
kwanza usimwambie kama unaenda kwa mwajiri. Amka zako mapemaaa wahi getini kazini kwake akukute pale sura umeikaza kiume. unajifanya unasubiri kuingia ..... akikuona atakuja kukupa salam
 
Yaan uki mkopesha mtu wa serikali au anae tegemea mshahara kulipwa ni changamoto sana lazima msumbuane mshikane mashart sijui kwanini?

Kuna namna wanarudisha watu nyumaa sana kwanini mna kuwa wasumbufu emby jibuni hapa

Tukopeshe sisi wauza genge, ni walipaji wazuri
Una kausha damu ngapi mkuu?
 
Kuna jinsi ya kumtisha.... we unafikiri unamwambia tu kilegevu eti naenda kwa mwajiri wako.... nooo
kwanza usimwambie kama unaenda kwa mwajiri. Amka zako mapemaaa wahi getini kazini kwake akukute pale sura umeikaza kiume. unajifanya unasubiri kuingia ..... akikuona atakuja kukupa salam
Ahahah hii kali sana
 
Kuna jinsi ya kumtisha.... we unafikiri unamwambia tu kilegevu eti naenda kwa mwajiri wako.... nooo
kwanza usimwambie kama unaenda kwa mwajiri. Amka zako mapemaaa wahi getini kazini kwake akukute pale sura umeikaza kiume. unajifanya unasubiri kuingia ..... akikuona atakuja kukupa salam
Hauwajui watumishi wa umma kwa kubebana wewe.Ukiwepo wanajidai kumsimanga,ukiondoka umeondka na deni lako.Halafu,hakuna mtumishi wa umma mwenye unafuu wa madeni hasa kipindi hiki cha miaka minane iliyopita.
 
Kuna jinsi ya kumtisha.... we unafikiri unamwambia tu kilegevu eti naenda kwa mwajiri wako.... nooo
kwanza usimwambie kama unaenda kwa mwajiri. Amka zako mapemaaa wahi getini kazini kwake akukute pale sura umeikaza kiume. unajifanya unasubiri kuingia ..... akikuona atakuja kukupa salam
Hauwajui watumishi wa umma kwa kubebana wewe.Ukiwepo wanajidai kumsimanga,ukiondoka umeondka na deni lako.Halafu,hakuna mtumishi wa umma mwenye nafuu wa madeni hasa kipindi hiki cha miaka minane iliyopita.
 
Back
Top Bottom