Wafahamu snippers/walenga shabaha

Wafahamu snippers/walenga shabaha

Sniper: (1) A skilled militaryshooter detailed to spot and pick off enemy soldiers from a concealed place.(2) One who shoots at other people from a concealed place.

 
Last edited by a moderator:
Technology ya sasa,naona hata kipofu anaweza kuwa a deadly sniper-kwa dunia ya leo hawa ni overated
 
Sniper: (1) A skilled militaryshooter detailed to spot and pick off enemy soldiers from a concealed place.(2) One who shoots at other people from a concealed place.



Shkamoo mama mdogo
 
Last edited by a moderator:
maxresdefault.jpg

Sniper-Elite-V2-Double-Dose-Achievement.png

Asante sana Tyta. Hizo makitu adui anadondoshwa kimya kimya huku sniper anaangalia who is next-generation. Very nyce game to practice
 
Hatariiiiiiiiiiiii dunia hiiiiiii jamaniiiiii!!! tunaishi tu lakiniiii tunashidaaaaa

Kama unamheshimu mwalimu kwa kufundisha, daktari kwa kutibu, muheshimu sniper kwa kazi yake murua na ya kizalendo
 
Hahahaha nimeona huu uzi nikakumbuka THE BATTLE OF STALINGRAD.. Ndio sehemu ambayo ilipiganwa vita kubwa na mbaya zaidi wakati wa vita ya pili ya dunia. Inasemekana hakuba sehemu imepiganwa vita kali katika historia ya dunia kama Stalingrad..
Marked by constant close quarters combat and direct assaults on civilians by air raids, it is often regarded as the single largest and bloodiest battle in the history of warfare.[12] The heavy losses inflicted on the German Wehrmacht make it arguably the most strategically decisive battle of the whole war.[13] It was a turning point in the European theatre of World War II; German forces never regained the initiative in the East and withdrew a vast military force from the West to replace their losses.

Vita iligeuza mji kuwa magofu na udongo.. Hakuna jengo lililobaki salama..

Wikipedia

Vipi wazungu hawajaigiza muvi kupitia iyo vita kweli
 
Kama unamheshimu mwalimu kwa kufundisha, daktari kwa kutibu, muheshimu sniper kwa kazi yake murua na ya kizalendo

Mkuu kwa kutaka kujua zaidi, mara nyingi wale wanaokua na kazi maalum unakuta ana risasi moja tu na akipiga hata kama amekosa ndio anafunga ubalozi (Anaondoka) hiyo ni sheria au katika kuhakikisha unaongeza umakini?
 
Hahahaha nimeona huu uzi nikakumbuka THE BATTLE OF STALINGRAD.. Ndio sehemu ambayo ilipiganwa vita kubwa na mbaya zaidi wakati wa vita ya pili ya dunia. Inasemekana hakuba sehemu imepiganwa vita kali katika historia ya dunia kama Stalingrad..
Marked by constant close quarters combat and direct assaults on civilians by air raids, it is often regarded as the single largest and bloodiest battle in the history of warfare.[12] The heavy losses inflicted on the German Wehrmacht make it arguably the most strategically decisive battle of the whole war.[13] It was a turning point in the European theatre of World War II; German forces never regained the initiative in the East and withdrew a vast military force from the West to replace their losses.

Vita iligeuza mji kuwa magofu na udongo.. Hakuna jengo lililobaki salama..

Wikipedia

Ni nchi gani mkuu funguka
 
Kama ni hivyo, kwanini hakuna bullet proof ya kichwa, naona wanavaa kifuani tu?

Kuna mzee tulikuwa naye ofisini nikawa namuuliza maswali magumu magumu kama haya, siku moja akanijibu hivi,

"Unajua soon utakuwa baba, haya maswali inabidi uwe unajua majibu yake maana watoto watakuwa wanakuuliza, mimi sitakujibu fanya homework yako mwenyewe."
 
Back
Top Bottom