kinyoba
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 1,267
- 720
Vipi wazungu hawajaigiza muvi kupitia iyo vita kweli
zipo movie mbili. moja inaitwa STALINGRAD
Vipi wazungu hawajaigiza muvi kupitia iyo vita kweli
Ni nchi gani mkuu funguka
zipo movie mbili. moja inaitwa STALINGRAD
Kama sikosei nyingine ni ENEMY AT THE GATES.
....ha ha haaa!!!!..Kama naliona vile lile "kamanda la kirusi". Yule sniper wa kijerumani naye si mchezo."my name is Nikita segyevich i've to take things on hand here,this is Stanlingrad,this city is not kiev nor moscow. This city bears thy name of the Boss n if this will be captured the whole country will collapse. And now i'want boys to stop shitting their pants"
Kamanda la kirusi hilo likiunguruma kwa askari wake ndani ya Enemy at the gates afu baadae ndo sniper Vassil anakuwa introduced.
Bonge la movie
....ha ha haaa!!!!..Kama naliona vile lile "kamanda la kirusi". Yule sniper wa kijerumani naye si mchezo.
Na ni kwa nini hawa wadunguaji wanadili na kichwa tu?
Yule sniper wa kijeruman alikuwa na cheo cha major,nilisikitika sana alipomnyonga yule dogo Sasha.
Huyu huwa anapima spidi ya upepo, umbali na angle aliyepo target, Kwa ufupi ni mwanamahesabu!Sasa tuzungumzie wale wa pair yule anayekuwa hajashika bunduki anakua anampa maelekezo gani yule mwenye bunduki ilihali wote wana viona mbali? Au msaada wake hasa unakua upi ktk kutimiliza misheni yao?
Unakumbuka alivyowadungua wale makamanda mpaka ujerumani ikaleta mtu maalumu(sniper) ili kumu-eliminate mdunguaji wa kirusi?
mafunzo yote na umakin wt huo n kwaajil 2 ya kuondoa uhai wa binadamu tu...!
Daah mkuu nakumbuka sana, mdunguaji wa Kirusi aliitwa Vassil. Aliwadungua wale makamanda wa kijeruman balaa,wengine walikuwa wakioga.
Wajeruman ndipo walipomleta yule sniper major ambaye huko kwao ndo alikuwa mkufunzi wa ma-sniper.
Utamu ndo ulianzia hapo
Una nafasi ya kuwa sniper mzuri
sawa mkuuu nitacheki