Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,718
- 6,979
Angalia Movie "The American Sniper"
Kuna mzee tulikuwa naye ofisini nikawa namuuliza maswali magumu magumu kama haya, siku moja akanijibu hivi,
"Unajua soon utakuwa baba, haya maswali inabidi uwe unajua majibu yake maana watoto watakuwa wanakuuliza, mimi sitakujibu fanya homework yako mwenyewe."
Ha ha haaa tatizo la maswali magumu yana majibu mengi alaf majibu yenyewe yanakua marahisi sana. Umenifurahisha sana mkuu!
Mkuu kwa kutaka kujua zaidi, mara nyingi wale wanaokua na kazi maalum unakuta ana risasi moja tu na akipiga hata kama amekosa ndio anafunga ubalozi (Anaondoka) hiyo ni sheria au katika kuhakikisha unaongeza umakini?
Si kweli kua akikosa moja huondoka. Pale unachofanya ni kuona kana target ame-identify location yako na ukigundua kajua ulipo u may make a second shot japo principal ni one shot one kill.
Na ni kwa nini hawa wadunguaji wanadili na kichwa tu?
Ha ha haaaa. Kama ulikuwa mzuri kwa kuwatungunyua ndege kwa manati, basi upo vzr kwenye fani hii
haaa haa sio masikhara mkuu, hata hii ndege ya urusi iliyodondoka juzi hapo sinai(egypt) ni mimi nime accomplish that mission.
Kama ni hivyo, kwanini hakuna bullet proof ya kichwa, naona wanavaa kifuani tu?
Siku hizi kuna suti, mabegi ya laptop, leso, kofia zenye muonekano wa kawaida, na fulana za kawaida ambavyo ni bullet proof.
Kofia hii hapo chini, ni bullet proof completely.
Vinaundwa kwa namna gani mpaka kuweza kuzuia kupenya risasi?
Kuna aina mbalimbali ya material zinazotumika kulingana na matumizi ya walengwa na aina ya kifaa kinachokusudiwa. Kuna material kama kevlar ndiyo iliyo maarufu zaidi.