Nawasalimu na kazi iendelee..
Kuna karatiba fulani ka mgao wa umeme maeneo ya wilayani umeme huwa unakatwa jioni kuanzia saa 12 na kurudi either mid night au usiku wa manane.Sijajua sehemu nyingine Kama iko hivo.
Sasa ninavyofahamu sehemu nyingine wilayani hazina heavy duties nyakati za usiku.Hakuna magiant industry yanayofanya kazi nyakati za usiku.
Hata hivi viwanda vya wajasiriamali wadogo usiku huwa wanaenda kulala mfano hawa welders, carpenters, filter &tuners na wengine wengine nyakati za usiku wengi hawafanyi kazi.
Hata ofisi nyingi za serikali za umma na sector binafsi zinakuwa off usiku.
Kwa hiyo kifupi sehemu za wilayani usiku huwa hakuna mzigo mzito wa kazi unapigwa.
Sasa haka karatiba ka kukata umeme jioni au usiku kanakuwaje iii!?
Kapoje kapoje haka karatiba
Ina maana Hali ni mbaya Sana kuliko tunavyoona?
Haka karatiba kanakerakera kidogo.
Kumbuka hapa nazungumzia wilayani.Mwenye ufahamu na hili Karibu.
Alamsiki.
Kuna karatiba fulani ka mgao wa umeme maeneo ya wilayani umeme huwa unakatwa jioni kuanzia saa 12 na kurudi either mid night au usiku wa manane.Sijajua sehemu nyingine Kama iko hivo.
Sasa ninavyofahamu sehemu nyingine wilayani hazina heavy duties nyakati za usiku.Hakuna magiant industry yanayofanya kazi nyakati za usiku.
Hata hivi viwanda vya wajasiriamali wadogo usiku huwa wanaenda kulala mfano hawa welders, carpenters, filter &tuners na wengine wengine nyakati za usiku wengi hawafanyi kazi.
Hata ofisi nyingi za serikali za umma na sector binafsi zinakuwa off usiku.
Kwa hiyo kifupi sehemu za wilayani usiku huwa hakuna mzigo mzito wa kazi unapigwa.
Sasa haka karatiba ka kukata umeme jioni au usiku kanakuwaje iii!?
Kapoje kapoje haka karatiba
Ina maana Hali ni mbaya Sana kuliko tunavyoona?
Haka karatiba kanakerakera kidogo.
Kumbuka hapa nazungumzia wilayani.Mwenye ufahamu na hili Karibu.
Alamsiki.