Wadau Mimi nina mashaka Sana na suala la mgao/upungufu wa umeme? Hivi Kuna mgao mkali au kuna upungufu mkali?
Kama hapa Mwanza Mjini ratiba haileweki usiku au mchana. Nimekaa wilaya ya Magu umeme kila siku kuanzia saa kumi na moja jioni wanakata. Huu Ni mfano hata Mwanza Katikati ya Jiji sehemu kama Nyegezi umeme unakatika usiku.
Hofu yangu!! Kama kunamgao/upungufu kwanini ratiba isitoke nchi nzima? Pili; Hatuoni kukaa gizani muda wa usiku nihatari Sala Kwa usalam wa watu na Mali zao? Nawaza na sipati majibu!!!
Hili nijanga na kama Serikali suala la umeme walichukulie kama dhararu ya haraka ili kutatua hii kero vinginevyo tujue kabisa kuwa limeshindikana kwa miaka 60+ya uhuru.
Kama hapa Mwanza Mjini ratiba haileweki usiku au mchana. Nimekaa wilaya ya Magu umeme kila siku kuanzia saa kumi na moja jioni wanakata. Huu Ni mfano hata Mwanza Katikati ya Jiji sehemu kama Nyegezi umeme unakatika usiku.
Hofu yangu!! Kama kunamgao/upungufu kwanini ratiba isitoke nchi nzima? Pili; Hatuoni kukaa gizani muda wa usiku nihatari Sala Kwa usalam wa watu na Mali zao? Nawaza na sipati majibu!!!
Hili nijanga na kama Serikali suala la umeme walichukulie kama dhararu ya haraka ili kutatua hii kero vinginevyo tujue kabisa kuwa limeshindikana kwa miaka 60+ya uhuru.