Mindset unaziset mwenyewe kulingana na Hali.Je tupo katika zama gani? Na mindset za vijana wasomi ziko vp?
Kabisa.mazingira mabovu ya kujiajiri kwenye uo mtaji ambao unao TRA wanataka kabla ujaanza mradi😙😙Inabidi watu tujiongeze tu na kubuni vimiradi vya kusogeza siku mbele maana hata huku kwenye kujiajiri mazingira ni mabovu nchi hii
Utakutana na rungu la TRA na ukiritimba wa mamlaka nyingine huko utajuta
Mwaka wa 4 toka nimemaliza chuo bado nipo kitaaHebu nipeni mawazo yenu wakuu; hii trend ya upatikanaji wa ajira kwa upande wenu mnaionaje? Ukiangalia miaka kumi iliyopita, idadi ya fursa za ajira zilizokuwepo na idadi ya wataalamu huru waliokuwepo (wahitimu). Ukiangalia idadi ya fursa za ajira zilizokuwepo hivi sasa na idadi ya wataalamu huru waliokuwepo (wahitimu).
Kwa miaka 10 ijayo tunahisi hali ya upatikanaji wa ajira utakua vipi? Je, fursa zitakuwepo? Elimu yetu watanzania itakua na thamani tena au wasomi watakua wamejazana mitaani tu?
Hebu changia mawazo yako mkuu.