Wadau, hivi mwenendo wa soko la ajira la Tanzania mnauonaje?

Kiufupi ni kwamba ajira zilizopo ni chache na hii ni effect ya sekta binafsi kudumazwa kwa sera mbovu za serikali ya ccm , sekta binafsi ndio muajiri mkuu ,hii ikiyumba , resonating effects zake ni kubwa na ndio kinachotokea
 
Inabidi watu tujiongeze tu na kubuni vimiradi vya kusogeza siku mbele maana hata huku kwenye kujiajiri mazingira ni mabovu nchi hii
Utakutana na rungu la TRA na ukiritimba wa mamlaka nyingine huko utajuta
 
Inabidi watu tujiongeze tu na kubuni vimiradi vya kusogeza siku mbele maana hata huku kwenye kujiajiri mazingira ni mabovu nchi hii
Utakutana na rungu la TRA na ukiritimba wa mamlaka nyingine huko utajuta
Kabisa.mazingira mabovu ya kujiajiri kwenye uo mtaji ambao unao TRA wanataka kabla ujaanza mradi😙😙
 
Hebu nipeni mawazo yenu wakuu; hii trend ya upatikanaji wa ajira kwa upande wenu mnaionaje? Ukiangalia miaka kumi iliyopita, idadi ya fursa za ajira zilizokuwepo na idadi ya wataalamu huru waliokuwepo (wahitimu). Ukiangalia idadi ya fursa za ajira zilizokuwepo hivi sasa na idadi ya wataalamu huru waliokuwepo (wahitimu).

Kwa miaka 10 ijayo tunahisi hali ya upatikanaji wa ajira utakua vipi? Je, fursa zitakuwepo? Elimu yetu watanzania itakua na thamani tena au wasomi watakua wamejazana mitaani tu?

Hebu changia mawazo yako mkuu.
Mwaka wa 4 toka nimemaliza chuo bado nipo kitaa
 
Back
Top Bottom