Imruu
Member
- Nov 4, 2023
- 12
- 15
Hebu nipeni mawazo yenu wakuu; hii trend ya upatikanaji wa ajira kwa upande wenu mnaionaje? Ukiangalia miaka kumi iliyopita, idadi ya fursa za ajira zilizokuwepo na idadi ya wataalamu huru waliokuwepo (wahitimu). Ukiangalia idadi ya fursa za ajira zilizokuwepo hivi sasa na idadi ya wataalamu huru waliokuwepo (wahitimu).
Kwa miaka 10 ijayo tunahisi hali ya upatikanaji wa ajira utakua vipi? Je, fursa zitakuwepo? Elimu yetu watanzania itakua na thamani tena au wasomi watakua wamejazana mitaani tu?
Hebu changia mawazo yako mkuu.
Kwa miaka 10 ijayo tunahisi hali ya upatikanaji wa ajira utakua vipi? Je, fursa zitakuwepo? Elimu yetu watanzania itakua na thamani tena au wasomi watakua wamejazana mitaani tu?
Hebu changia mawazo yako mkuu.