Wadada waja na huduma ya Mobile Massages service

Wadada waja na huduma ya Mobile Massages service

we jamaa huna akiri kabisa hivi ukiangalia hizo meseji huoni kuwa za mtoa mada zipo upande wa kulia na mtoa huduma zipo upande wa kushoto au hujui chats zinavokaa?
Ndyo maana sikupenda kupoteza muda kuelewesha. Wajuaji wa hivi unawaacha waendelee kujidanganya kuwa ni wajanja.
 
Jamani, kila mtu na kazi yake kama ww una kazi, au una mradi au miradi kibao ya kukuingizia kipato, shukuru Mungu, waacheni watu na kazi zao, wengi uchi ndio mtaji wao, ndio hivyo yaani, kipi cha kushangaa..? Hii biashara tokea enzi na enzi, waacheni wauze mali yao..!! Kama ww ni mwanaume mtu mzima, nani hajanunua uchi..? ni kitu kizuri sana sana, mm napenda sana wanawake, hasa ambao navutiwa nae, haya mambo ya kawaida tu
 
Ninaandika hii post nikiwa na huzuni huku nikisikitikia hawa madada zetu waliokosa ajira na kujaribu kujiajiri wenyewe.

Hawa wadada sasa wamebuni kitu kinaitwa "Mobile Massages service". Yani unampigia simu popote ulipo iwe hotelini au kwako muda wowote anakuja kukufanyia massage mwili mzma kawa bei ya kuanzia 20,000 hadi 50,000.

Hii nimekutana nayo hasa kwenye mtandao wa Badoo na Insta. Yani sista duu anakuPm na kukueleza hii huduma yake na bei. Anakupa no ya cm. Ukimuhitaji anakuja fasta.
3e0477b20bcb2e9f60c4bb54ab548b07.jpg



Hii huduma nimeshatumia kipind flani. Sikuishia kufanyiwa massage tu. Mpaka extra services kama b. Job nilipata na papucha nikapewa. Yani wapo vizuri kwa kukuseduce kidume unatoa tu pesa. Mfano, after massage anakuambia naona jongoo wako kasimama naweza mfanyia massage pia kwa extra 10k. Kidume apo lazima ukubali. Baada ya hapo unasikia. "Baby pole, ongeza 20,000 nikupe bao moja jogoo alale kabisa". Yani apo lazma mwanaume uchomoe pesa tu.

Hapo ndipo nilielewa kuwa wafanya biashara ya mwili wamekuja na new marketing strategies with value addition.

Lakini leo nimeshangaa mdada kanipm kanielezea hii hudama. Kuchek kwenye profile yake ni graduate wa chuo flani. Kuna picha za graduation kwenye Profile yake. Kavaa joho. Sasa Kama hata graduates wamefikia hatua ya kuanza hii biashara basi ni hatari. Kweli mkulu kakaza.

Naomba msinitafte PM kuomba contact za iyo huduma. Sifanyi promo. So msijisumbue kuntafta PM maana sitajibu kabisa.

Update.
Nasisitiza. Acheni kuniPM kuomba contact. Siwezi kutoa contact maana ni kosa kisheria.
Ila nawapa hint. Fanya kusearch insta, FB na Badoo. Search Mobile massage therapist. Utapata tu. Mbna wapo kibao.
Uko sawa mkuu mi pia nilikutana na hii kitu badoo bahati mbaya nkasafiri kabla sijamtafuta,
 
Hii story umeileta kufanya matangazo, uombwe namba!

From no where mtu anakutumia SMS eti aje akufanyie massage, labda wewe mwenyewe ndo uwe umeanza kutangaza kwamba unataka massage na muhusika akaliona tangazo lako.

Lakini hawezi kutoka alikotoka akaja kwako straight kukutangazia biashara.

Umesomeka mkuu.
Sio uongo anaanza kukuomba urafiki kwenye hii mitandao yetu then anakueleza kuhusu huduma yake
 
Yale Yale ya www nairobiraha.
Kumbe na kule kwa jirani (NAIROBI) wanatoa huduma hizo!

Sema kiwango chao kitakuwa cha chini sana.

Hawana jeuri ya kutoa huduma nzito kama nilizoziorodhesha.

Na kuna huduma nyingine nimezimezea, Kisela siwezi kumwaga Mchele wote
 
Na kuna huduma nyingine nimezimezea, Kisela siwezi kumwaga Mchele wote

Mkuu hebu funguka hizo huduma ulizomezea zinaweza zikawa zina ugonjwa wangu nikawafuata huko huko mamtoni siku mambo yakiwa sawa.
 
Mkuu hebu funguka hizo huduma ulizomezea zinaweza zikawa zina ugonjwa wangu nikawafuata huko huko mamtoni siku mambo yakiwa sawa.
Kiongozi inatosha.

Ntakuwa kama navuka mipaka.

Mwaka wowote/Siku yoyote utakapomwagika KIWANJA chochote michongo yote inapatikana.

Utakapowasili Hotelini utapata Orodha ya Tovuti au Mawasiliano.

Na ukishapata Mawasiliano au Tovuti, kwenye Matangazo yao kuna baadhi ya MILUPO hawataji Huduma zote, wanataja Huduma chache, ila utakaporuka Hewani ndio utapewa Mchongo kamili, na Bei zake.

Na usiwe Mtu wa Papara, kwasababu MILUPO ni mingi sana na Huduma zinatofautiana.

Cha kufanya wewe kila ukiona Tangazo unaruka MLUPO utakutajia Huduma zake, na Bei zake.

Na kuna Huduma nyingine za ziada unatajiwa MLUPO ukishakuibukia HOTEL
 
Nchi zilizoendelea mambo hayo mbona kitambo.

Sisi ndio kwanza tunaiga.

Wewe unafikiri umeingia ugenini kurupu na una hamu ya kumuingilia Mtu Kimwili utafanyaje?

Yaani pale Hotel unakuta matangazo na mawasiliano, au kama ni Tovuti utakuta zimeorodheshwa, unaingia kwenye Tovuti unajichagulia umtakae, unachukua na mawasiliano yake.

Kisha unaruka hewani, anakutajia na gharama zake, kama umeafiki.

Unamuelekeza Hotel uliofikia, anakuibukia na zaga zaga zote. Kuanzia mafuta ya kuchua/kuukanda mwili N.K.

Kwahiyo hapo unakandwa na unamuingilia Mtu Kimwili vile vile, na kuna burudani nyingi tu zinapatikana. Maelewano yenu tu.

Hao wakandaji, hiyo kukanda ni Gia tu. Ukweli ni kwamba wanauza Miili.

Mambo ya Escorts and Massages hayo
kabisa mkuu nashangaa wanaosema imeanza leo...hii biashara ipo na mitandao ipo hapahapa bongo....malaya anakuja na toolbox utafikir fund wa magari....ila wanasambaza raha mwili mzima na wanajua kuti*****na sio mchezo
 
Back
Top Bottom