Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,449
- 11,318
KUMBE WATU HAMUELEWI KINGEREZA KIASI HIKO, amesema profile sio PM yeye anaongelea profileHumu namna tuvyochat, mara nyingi inaonesha haiba ya mtu ilivyo.
Utafunguliwa tu na utakaribishwa kwa heshima, tena inawezekana utaanza kutafutwa wewe. Au ukigusa tu, mtoto anakwambia twende PM, Endapo wakikulewa. Ila hakikisha chats zako humu jukwaani zinakuakisi kuwa (Smart, Unajiamini, Pesa ipo)
Ila dalili zikionesha huna kati ya hivyo au vyote. Hutatoboa huko PM.
Kila la Kheri Mkuu.