Wadada wa jf kwa nini lakini?

Wadada wa jf kwa nini lakini?

Humu namna tuvyochat, mara nyingi inaonesha haiba ya mtu ilivyo.

Utafunguliwa tu na utakaribishwa kwa heshima, tena inawezekana utaanza kutafutwa wewe. Au ukigusa tu, mtoto anakwambia twende PM, Endapo wakikulewa. Ila hakikisha chats zako humu jukwaani zinakuakisi kuwa (Smart, Unajiamini, Pesa ipo)

Ila dalili zikionesha huna kati ya hivyo au vyote. Hutatoboa huko PM.

Kila la Kheri Mkuu.
1782024655115.png
 
Humu namna tuvyochat, mara nyingi inaonesha haiba ya mtu ilivyo.

Utafunguliwa tu na utakaribishwa kwa heshima, tena inawezekana utaanza kutafutwa wewe. Au ukigusa tu, mtoto anakwambia twende PM, Endapo wakikulewa. Ila hakikisha chats zako humu jukwaani zinakuakisi kuwa (Smart, Unajiamini, Pesa ipo)

Ila dalili zikionesha huna kati ya hivyo au vyote. Hutatoboa huko PM.

Kila la Kheri Mkuu.
Hii ni kweli kabisa!
 
Mkuu, mvizie tu hata mtaani utaonana nae tu.
 
Kitendo cha wanawake kufunga (ku-disable) 'Private Messages' (PM) kwenye mtandao wa JamiiForums Tanzania ni uamuzi binafsi unaochochewa na sababu mbalimbali kama vile kujilinda na usumbufu, udhalilishaji wa mtandaoni, au faragha. Kitendo hiki mara nyingi huzua mijadala mikali na kuonekana na wengi kama ishara ya uchoyo wa mawasiliano na ubinafsi.
HUJAELEWA ANAONGELEA PROFILE SIO PM
 
Back
Top Bottom