Unaweza kuwa navyo vyote hivyo lakini vikawa vya kuazima
hapooo sasaaa!! wengi tunaingia huo mtego.
Pia nimesahau, hygene kwa ujumla pia inafuata, makucha, nywele, meno etc.
jamani ila kitu cha ajabu kwangu, huwa eti naanzia kwenye viatu na mkanda!!!
sina hata sababu ya msingi, basi tu, najua inaweza kuwa vya kuazima au mtu kajitokea simple na viwalo vyake vya zamani,
lakini kwa kweli hata sijui kwa nini.
Pia huwa nahakikisha namtupia macho mister wangu viatu vyake kabla hajatoka home, pia huwa natoa special priority kwa sandals zake hadi amejua anajitahidi mwenyewe, kwani ameona matokeo yake, huwa anaambiwa huko aendako kama kafulia au vipi.
Sio lazima ndo umkubali mtu kuwa mpenzi wako, ila kuwa smart kunasaidia au kupotosha mahusiano ya namna yoyote yanayokuja mbeleni, ya kiajamii au kikazi. heshima au dharau,