Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,609
- 3,476
Viatu viwaje sasa?
Watu hawavai saa siku hizi simu imetosha.
Hivi kumbe haya ni ya kweli?
Mi sijui mwanaume asiyevaa saa namuonaje.........:coffee:
wenye visimu vya tochi kama changu wanaonekana walevi na wabahili.............:laugh: