Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,298
Hiyo sura yake unataka ionekane vipi?
km ya sokwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sura yake unataka ionekane vipi?
Mi sijui mwanaume asiyevaa saa namuonaje.........:coffee:
wenye visimu vya tochi kama changu wanaonekana walevi na wabahili.............:laugh:
we mdada?
cha kwanza viatu
Mmmmmh siamini!!
Mzima lakini wewe m-kaka!
Nlikutumia salamu ulizipata!
Kama ulizipata kwa nini hukujibu!
ahhhh ahhhh shost mbavu zangu mieeeeeeeee...mie mwanaume aliyeshika blakbel na yule aliyeshka kitoch ni bora wa kitoch..(km wote wapo kwenye status moja)
sipend complcation so uyu wakitoch najua anajua nini anataka na si show off msimu uuuo ,misimu mitano tano mkonon..ahh mwanaume anayejiamin bwana ni yule mwenye kitoch ili hali uwezo wa kununia simu kali ya milion 3 anao bt stl ana kitoch aahhhh mwaya NTAMCHUKUA UYU....yule anayepokea laki 6 then mbiiiio kanunua blakbel simtak....naona HANA MAWAZO
MWANAUME asiyevaa saa anakuwa na tabia ya kutojali,wapo wapo si makin..et utasema saa kwenye cm....apana saa mkonon ina maana kubwa..
km ya sokwe.
naomba nikupende basiNiangalie mie
km ya sokwe.
naomba nikupende basi
upo weye..?km ya sokwe.
cha kwanza ni viatu!!!
viatu vitakuambia kama ni fisadi, muungwana, masikini, ombaomba, mchafu, mzembe, hana mpangilio, mchungaji wa kanisa, MLEVI, etc. unaweza kumkubali au kumkataa mtu kwa kuangalia viatu vyake. Mara nyingine huwa unakujutia uamuzi wako wa kuviangalia na kufanya maamuzi kwa kuvifuata.
Mara nyingine baada ya kuangalia viatu unaweza kupata busara ya kuangalia vitu vingine na kusikiliza stori zingine, ili kupata sababu ya kuignore msg ya vile viatu.
pia muhimu posture, sauti, size ya viatu, saa/simu, gari, mkanda, material na choice za nguo zake nk.
Bahati mbaya tabia huja baadae, na huwa inalinganishwa na kushindanishwa na hivi vitu,
Hopefull na kwa maombezi tabia inashinda, ila mara nyingi sana haishindi, ndio tunaishia kulia tu nakulalamika kila uhusiano baada ya uhusiano.
Hiyo sura yake unataka ionekane vipi?