Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi macho yake tu, kwa macho nawezajua kama ni mhuni ama mstaarabu, mkweli ama muongo, mcha Mungu au mbabaishaji, mkarimu au mzinguaji nk. for me, the eyes speak out everything for a man
mengine huwa siangalii kwani kama walivyosema wengine yananunulika, tabia pekee hainunuliki wapendwa
Mavazi yanaongea kitu (Ila isijekuwa umeazima) na wakati mwingine hata ukiazima unaweza gundulika kwa sababu nguo ya kuazima haisitiri....
Saa na simu vinaongea.......
Sura nayo muhimu kwa kweli,
Umbo mrefu au mfupi, mnene au mwembamba.
Rangi, Mweusi au mweupe.
Baada ya hivo sasa naangalia anavyoongea na mengine yanafuata sasa tabia nk nk.
I am allergic to watch, shoes, smelling perfumes, wearing belt
kwani we si he?? mbona hivyo tena au hajasoma sawa sawa?? nshapata shock tayari..
haaa he eeee???? jf ina mambo wallah..
Yap, Ndio nasema sasa mdada kama akija akawa ananiangalia through those things mimi nina aleji navyo
Mavazi yanaongea kitu (Ila isijekuwa umeazima) na wakati mwingine hata ukiazima unaweza gundulika kwa sababu nguo ya kuazima haisitiri....
Saa na simu vinaongea.......
Sura nayo muhimu kwa kweli,
Umbo mrefu au mfupi, mnene au mwembamba.
Rangi, Mweusi au mweupe.
Baada ya hivo sasa naangalia anavyoongea na mengine yanafuata sasa tabia nk nk.
mambo gani hayo Nilham?
Yap, Ndio nasema sasa mdada kama akija akawa ananiangalia through those things mimi nina aleji navyo
Kazi ipo!cha kwanza sura, vingine ni vitu vinavyonunulika.
si hayo ya kutazama viatu na saa... hehehehee..
wewe huwa unaangalia nini mama?
naangalia sura na uhandsome...
kwa mtaji huu naona,
mpwa wangu Finest ameshapata soko hapo!!!!!