chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 213
Utaelewa ukishaolewaMimi naongelea jini mkata kamba anayetaka kuchezea namba 3 sasa maana duniani ni wawili wawili
Utaelewa ukishaolewaMimi naongelea jini mkata kamba anayetaka kuchezea namba 3 sasa maana duniani ni wawili wawili
HahahaaaTatizo mdada akishakuwa na NYEGE MUBASHARA haulizi kama mume wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
helloo spirit wa fulani?Hahahaaa kwanini?

Je yeye maisha yake yatakuaje? Lini atakuwa na mume wake? Ilihali muda wake wa usichana atapotezea kwako wewe mwenye familia yako kumbuka kuwa usichana ni wa muda mfupi tuuNani anahitaji kuchoshana na mwanamke ambae anakuona sawa na house boy wake
Wakati unamvisha, unamlisha, na kwao ulikwenda ukatoa sadaka kwa wazazi wake lakini akisha zaa watoto wawili thamani yako kwake inapotea
Bora mchepuko IST hauna tabu wenyewe unahitaji pesa za saloon, pesa za kucha, na pesa ya bando biashara kwisha unaitwa baby na miaka yako 52 huku kitandani akijigeuza kama kitenes anakupa ujana unasahau mama shebeduu
Wenye tabaa wapo milele katika kizazi cha Adam na Hawa yeye akichoka nitampata mwingine akihitaji wa milele siwezi kuwa Mimi kwa sababu milele yangu ni walletJe yeye maisha yake yatakuaje? Lini atakuwa na mume wake? Ilihali muda wake wa usichana atapotezea kwako wewe mwenye familia yako kumbuka kuwa usichana ni wa muda mfupi tuu
Habari wapendwa,
Wadada leo naomba tujikumbushe kitu kidogo hapa :- Ni kuhusu kuchagua watu wa kuwa nao kwenye mahusiano mf: -kumezuka wimbi la wasichana kupenda kutembea na waume za watu kisa wapate pesa za kujikimu kimaisha kwa upande wangu mimi naona tunakosea sana hiyo tabia na kwanza utachelewa sana maisha kwa kupenda vya dezo mwisho wa siku vitakutokea puani wewe msichana mdogo umeng'ang'ana na mizee isiyojiheshimu kisa anakupa hela na bora hata iwe hela sasa 50000 huoni kama ni dharau?
Yani kakuona jalala la kumwagia taka mwili wake puu! Kwanini wadada tusijikite katika kutafuta maisha? Mume wa mtu akikutongoza ujue kakuona wewe ni dastibini zile za barabarani ambazo kila mpita njia anatupia taka na kwenda zake, yani limtu na mauchafu yake wewe unalikubali maana hakuna malengo yoyote kawashwa huko kaona aje kwako ni bora utulie upate wako asiye na mke ukipenda vya dezo utatumika hadi utakuwa unatembea upande upande.
Tuacheni jamani.
Hahahahahaha wakat ndo zako
Usiwapangie watu namna ya kuishi Pambana na Hali yako kama wao wanapambana na Hali zao kupitia waume za watu me naona sawa tu sijui dust_ bean cjui nini kwani wanagongwa bure?? Au wanaume wenye migogoro na shida ktk ndoa zao unataka Nani awasaidie?? Jaribu basi kuwaza nje ya box
C n wivu tu kuona kwannSasa faida yake ni nini?
Kisu kimegonga mfupa lazima kimya kitawaleHapa nimeshaona watu 3 wanatembea na waume za watu...huu uzi hautafika mbali views nyingi comment hamna mnapita kimyakimya
ukipenda vya dezo utatumika hadi utakuwa unatembea upande upande.
Dada naona unawapeperushia watu viwanja vyao vya mazoezi!!
hao wadada wa ivyo wanaitwa viwanja vya mazoezi ukitoka mazoezi unaenda kwenye mechi sasa kwa mkeo!!