cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Kulingana na kazi ninayofanya ya utatuzi wa migogoro ya kijamii nimepokea kesi nyingi za wanawake za watu kuzaa na wanaume wengine wakati waume zao wapo hai
Nimegundua wanawake wa watu wanapodate au kuchepuka na wanaume za watu huzaa nao pia na mbaya zaidi mwanamke humwambia mchepuko wake mtoto wake katika familia yao na mbaya zaidi anamwambie "Yule mwanao baba ake anampenda balaa"
Kesi nyingi wanawake waliopo kwenye ndoa wanazaa na michepuko na wanawake muda mwingne wanashindwa kutunza siri hujikuta anawaambia wanaweka mashoga wenzio
Mfano *Mama x alienda kupiga stories salon moja na stories ziliponoga akawaambia" Siyo wew tu mbona na mimi nimezaa na mchepuko wangu na mme wangu anampenda sana mwanangu na hii mimba nahisi kama siyo ya mchepuko ni bahati kwa sababu siku nanasa huu ujauzito nilikutana na mchepuko saa 2 asubuhi jioni nikakutana na mme wangu ,hii inanipa utata mbegu ya nani iliwahi"
Mwanamke mmoja salon kampelekea habari rafiki wa mme wa mwanamke x na habari zikafika kwa mwanaume
Fujo zikaanza mwanamke x akakataa katakata kuwa alisema hivyo walikuwa wanasimuliana kwenye filamu moja
Kesi ikatufikia nilipombana mwanamke chemba peke yetu na kumtunzia Siri akakubali na nikamwambia umefanya makosa sana kusema na kama upo kwenye ndoa hata mchepuko hapaswi kujua kuwa umezaa naye,hii itakuvunjia ndoa
Rai yangu wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa zaeni na waume zenu acheni kuzaa na michepuko kwa misifa au kisa unapendwa na mchepuko
Wengine wafanya hivo kama kisasi kwa waume zao,kumbukeni watoto unaozaa watatunzwa na kulelewa na mme wako ,akigundua kuna kitu hakipo sawa unawapa watoto wakati mgumu
Kwa maelezo hayo nimefanya utafiti mdogo nikagundua haya
1,Wanawake wa vijijini wanachepuka sana kuliko wa mjini
2. Wanawake ambao wapo nyumbani bila kujishughulisha wanachepuka zaidi
3. Wanawake walioolewa ndoa za mitala wanachepuka zaidi
4. Wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii zaidi wanachepuka zaidi
5. Wanawake waliokatika ndoa yenye uchumi wa Kati wanachepuka na hasa na vijana wasio na mwelekeo
6. Wanawake single mothers hawachepuki sana ukilinganisha na walio kwenye ndoa
7. Wanawake waliohudhuria sekondari Kati ya kidato cha kwanza na cha nne wanachepuka zaidi kuliko msingi,six na chuo
8. Wanawake wenye makalio makubwa huchepuka zaidi
9. Wanawake weusi huchepuka zaidi
Asanteni
Nimegundua wanawake wa watu wanapodate au kuchepuka na wanaume za watu huzaa nao pia na mbaya zaidi mwanamke humwambia mchepuko wake mtoto wake katika familia yao na mbaya zaidi anamwambie "Yule mwanao baba ake anampenda balaa"
Kesi nyingi wanawake waliopo kwenye ndoa wanazaa na michepuko na wanawake muda mwingne wanashindwa kutunza siri hujikuta anawaambia wanaweka mashoga wenzio
Mfano *Mama x alienda kupiga stories salon moja na stories ziliponoga akawaambia" Siyo wew tu mbona na mimi nimezaa na mchepuko wangu na mme wangu anampenda sana mwanangu na hii mimba nahisi kama siyo ya mchepuko ni bahati kwa sababu siku nanasa huu ujauzito nilikutana na mchepuko saa 2 asubuhi jioni nikakutana na mme wangu ,hii inanipa utata mbegu ya nani iliwahi"
Mwanamke mmoja salon kampelekea habari rafiki wa mme wa mwanamke x na habari zikafika kwa mwanaume
Fujo zikaanza mwanamke x akakataa katakata kuwa alisema hivyo walikuwa wanasimuliana kwenye filamu moja
Kesi ikatufikia nilipombana mwanamke chemba peke yetu na kumtunzia Siri akakubali na nikamwambia umefanya makosa sana kusema na kama upo kwenye ndoa hata mchepuko hapaswi kujua kuwa umezaa naye,hii itakuvunjia ndoa
Rai yangu wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa zaeni na waume zenu acheni kuzaa na michepuko kwa misifa au kisa unapendwa na mchepuko
Wengine wafanya hivo kama kisasi kwa waume zao,kumbukeni watoto unaozaa watatunzwa na kulelewa na mme wako ,akigundua kuna kitu hakipo sawa unawapa watoto wakati mgumu
Kwa maelezo hayo nimefanya utafiti mdogo nikagundua haya
1,Wanawake wa vijijini wanachepuka sana kuliko wa mjini
2. Wanawake ambao wapo nyumbani bila kujishughulisha wanachepuka zaidi
3. Wanawake walioolewa ndoa za mitala wanachepuka zaidi
4. Wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii zaidi wanachepuka zaidi
5. Wanawake waliokatika ndoa yenye uchumi wa Kati wanachepuka na hasa na vijana wasio na mwelekeo
6. Wanawake single mothers hawachepuki sana ukilinganisha na walio kwenye ndoa
7. Wanawake waliohudhuria sekondari Kati ya kidato cha kwanza na cha nne wanachepuka zaidi kuliko msingi,six na chuo
8. Wanawake wenye makalio makubwa huchepuka zaidi
9. Wanawake weusi huchepuka zaidi
Asanteni