Spirit
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 457
- 383
- Thread starter
- #81
AhsanteWadada wajaribu kutulia ili wawapate watu watakao dumu nao maishani kuruka ruka huko hakuna maana yoyote mnapoteza muda na hadhi zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
AhsanteWadada wajaribu kutulia ili wawapate watu watakao dumu nao maishani kuruka ruka huko hakuna maana yoyote mnapoteza muda na hadhi zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
hao wadada unawachundisha tuu maana watachelewa kuolewa wawe na familiaKwani mume wa mtu ana alama?havutii?kimsingi mwanaume ameumbwa kumhudumia mwanamke ndio maana unaweza kuwa na majike 10 na dume mmoja kwenye zizi na sio madume 10 na jike moja...sisi binadamu kwa ubinafsi wetu ndo tumeanza kujimilikisha lakini sensa inaonesha wanawake ni wengi kuliko wanaume..
Waache waendelee kutumika mpaka anakuja kustuka pale umri unapoenda hakuna hata ksii ksii ndio unagutuka sasa unaanza kusema umerogwa kumbe muda mwingi uliutumia kwa waume za watu saa hiyo shoga zako wote wana familia wewe unabaki kuwa gume gume lililowashinda mpaka mashehe na mapadreHaya mambo masheikh, wachungaji na mapadre wanayasisitiza sana ila hakuna anayewasikia sidhani kama wewe watakusikiliza.
eti kutembea upande ? okey ujumbe mzuri sana wakukusikia na wasikie tu ... kukubali kupewa elfu hamsini ni upungufu wa mipango...... me huwa nasema tembea na mume wa mtu jua unataka nini kwake kama ni pesa iwe ya maana na hakikisha hatesi familia yake kwa ajili yako ukiweza hii principle basi utakuwa ni wale washindi wachache ........... ila pia uzinzi ni dhambi na jiandae pia kuja kuliwa mumeo incase ukiolewa malipo ni hapa hapa duniani...... huwa nawauliza hivi ukija kusikia mumeo anatembea na demu mwingine utajisikiaje HUWA MNAJIBU KWA UJASIRI HAWEZI NA MIMI NAJUA NJIA ZOTE ZA KUMBANA , MY DEAR KEEP IN MIND UKILA VYA WENZIO NA VYAKO TUTAVILA TU RAFIKI.. kila la heri
najua siku hizi unapata kawivu flan. Lakn kumbuka mhenga aliyesema cha mtu huliwa na mtu chuma ndio huliwa na kutu hakukosea kabisa...Hahahaaa mbona wanaume wasio na wanawake ni wengi tuu? Kwanini tunapenda kuwafata wale ambao wameshatengenezwa na wake zao? Utakuta wametoka mbali yule mwanaume alikua sii lolote sii chochote angekufata enzi hizo usingekubali mwenzio kamrekebisha jini mkata kamba ndio mimacho inaanza kumtoka
wivu sina ila roho inauma tu![]()
najua siku hizi unapata kawivu flan. Lakn kumbuka mhenga aliyesema cha mtu huliwa na mtu chuma ndio huliwa na kutu hakukosea kabisa...
Lkn mahusiano huwa yanaanzishwa kw 7bu nying... wkt mwngne mnavutwa na vtu vngne wala ht co pesa, na mnakubali kwa kuwa mnazifurahisha nazfsi zenu! Unakuta mtu hapewi ht mia lkn haambiwi kitu, cjui ndo ile mambo ya msaga sumu kuwa mwanaume mashine!Sasa wewe mtu kakugeuza kiburudisho una akili kweli familia yake imetulia nyumbani wewe unahangaishwa kwenye nyumba za wageni
Kushare kunauma lakn hakukwepekiHahahaaa mkuu vipo vya kushare lkn sii hiyo kitu
Kwa hali ya sasa kuolewa ni bahati na hata ukiolewa lazima uwe mvumilivu kwa sababu uhalisia wa mwanaume kuhudumia wanawake wengi uko pale pale...ukiolewa juwa changamoto kubwa utakayopata itatoka kwa mwanamke mwenziohao wadada unawachundisha tuu maana watachelewa kuolewa wawe na familia
Sasa kukubali kwao wanapoteza muda wao wa kuwapata wanaonipenda kwa dhati na sii ninyi waosha marunguTatzo linapokuja ni kwamba asilimia kubwa ya wanaume hatuwezi kuridhika na mke mmoja tu. Japo wake zetu tunawapenda lakn hatuwezi kuridhka sababu ya tamaa za kimwili.
Ndio maana tunatafuta parking ya dharura na ili kuepuka na kelele ndio maana tunawafuata mabint ambao hawajaolewa.
Japo haipendezi lakn huo ndio ukweli hapa sio kiwalaumu mabint bali sisi wanaume ndio chanzo
Tena ww utakuja kuua mtu.wivu sina ila roho inauma tu

kuua siui ila atajuta kumjua baba nginaTena ww utakuja kuua mtu.
Spat picha umemfuma live baba ngina heheheee huyo bint atakuja kusimulia maishan mwake atakachokipata siku hyo![]()
![]()
![]()
Wanaume wapo wengi mno tunawahiwaga kama hatuwhatuwaoni yani tunatafuta wale ambao wameshafanya maisha na wake zaoKwa hali ya sasa kuolewa ni bahati na hata ukiolewa lazima uwe mvumilivu kwa sababu uhalisia wa mwanaume kuhudumia wanawake wengi uko pale pale...ukiolewa juwa changamoto kubwa utakayopata itatoka kwa mwanamke mwenzio
ukitaka roho isiume achana na upeke peke....ukifatilia sana kama hutakufa kwa stroke basi pressure halafu wenzio ndo wanajichukulia kabisa livewivu sina ila roho inauma tu
Jambo la msingi ni kufanya kwa usiri tatzo linapokuja kuna baadhi yenu hata kama umepanga chumba unamruhusu huyo mbaba wako kuja geto kwako hapo ndipo wengi mnaharbu .. Mambo yote yaishie kalumanjira gest houseSasa kukubali kwao wanapoteza muda wao wa kuwapata wanaonipenda kwa dhati na sii ninyi waosha marungu
Agiza soda mleta mada nitalipa mimHabari wapendwa,
Wadada leo naomba tujikumbushe kitu kidogo hapa :- Ni kuhusu kuchagua watu wa kuwa nao kwenye mahusiano mf: -kumezuka wimbi la wasichana kupenda kutembea na waume za watu kisa wapate pesa za kujikimu kimaisha kwa upande wangu mimi naona tunakosea sana hiyo tabia na kwanza utachelewa sana maisha kwa kupenda vya dezo mwisho wa siku vitakutokea puani wewe msichana mdogo umeng'ang'ana na mizee isiyojiheshimu kisa anakupa hela na bora hata iwe hela sasa 50000 huoni kama ni dharau?
Yani kakuona jalala la kumwagia taka mwili wake puu! Kwanini wadada tusijikite katika kutafuta maisha? Mume wa mtu akikutongoza ujue kakuona wewe ni dastibini zile za barabarani ambazo kila mpita njia anatupia taka na kwenda zake, yani limtu na mauchafu yake wewe unalikubali maana hakuna malengo yoyote kawashwa huko kaona aje kwako ni bora utulie upate wako asiye na mke ukipenda vya dezo utatumika hadi utakuwa unatembea upande upande.
Tuacheni jamani.