Wadada na waume za watu

Wadada na waume za watu

Mungu alifanya jambo LA ajabu kuwatoa wanawake kweny kiwili cha mume,..angewaacha tu umo umo,..matatizo yangepungua

Sent from my SM-G950FD using JamiiForums mobile app
 
Kweli wanaume tusio na wanawake tupo wengi tu.

Asante kwa kutupigania wasitukimbie hawa mabint.
Lakini ukumbuke kuwa hawa wasio na wake sio mabikra wapo kwenye selection...wanaonja onja kuona pombe ipi imeiva vizuri ili wanywe
 
Wenzako wanafanyia hamu tu, sio wewe na dhiki zako, hufanyikazi unasubiria kutongozwa, wewe kutuvulia chupi tu 50000? Ukipata wanaume watatu kwa siku una hesabu ya Marcopolo tata? Wanaume kazi tunayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kuwa wanawake wengi siku hizi hawataki mapenzi ya bila pesa ile kama zamani kuvumiliana kujenga maisha na mtu akati ndio anaitafuta pesa.

Solution yao ndio hio wameona bora wasererekee kwa waliovaa pete, ili wavune vihela vya saluni na mikoba bila presha in exchange of unlimited sex.

Na trend inaonesha kizazi hiki cha paka kinakuwa kwa kasi ya 4.5G. Hivyo wanaume wenzangu tupige hela tuoe ili tuendelee kuwafaidi hawa pusi!
 
Hivi mme wa mtu mwenye miaka 35 ni kizee kilichojichokea?
 
Wenzako wanafanyia hamu tu, sio wewe na dhiki zako, hufanyikazi unasubiria kutongozwa, wewe kutuvulia chupi tu 50000? Ukipata wanaume watatu kwa siku una hesabu ya Marcopolo tata? Wanaume kazi tunayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua kusoma vizuri? Acha umasikini wa akili sipendi watu wajinga kujitokeza mbele za watu kuongea ujinga unaharibia watu mood kwa ujinga dah!! Yani wewe ni Mjinga haihitaji hata akili nyingi kukufikiria inaonekana ulipatikana kwa kufanyia hamu wewe mimba haikupangwa ndio maana brain yako ni 0 + 0=0
 
Ukweli ni kuwa wanawake wengi siku hizi hawataki mapenzi ya bila pesa ile kama zamani kuvumiliana kujenga maisha na mtu akati ndio anaitafuta pesa.

Solution yao ndio hio wameona bora wasererekee kwa waliovaa pete, ili wavune vihela vya saluni na mikoba bila presha in exchange of unlimited sex.

Na trend inaonesha kizazi hiki cha paka kinakuwa kwa kasi ya 4.5G. Hivyo wanaume wenzangu tupige hela tuoe ili tuendelee kuwafaidi hawa pusi!
Kweli mkuu
 
"...ungekuwa sio mme wa mtu ingekuwa raha sana......" Hayo ni maneno ya bidada fulani wa kichaga nikiwa nimempa lift. Hapo ni baada ya kunisomesha nimpe laki tatu za sijui ishu gani nkamgomea na kumwambia siwezi kutoa hela nyingi hivo kwa mchepuko. Maximum nnayoweza kumpa demu ni 50000, na nnapokupa hizo si kwamba nataka papuchi yako. Akakasirika kiaina kwamba nsimwite mchepuko, aisee kumbe neno mchepuko mabinti hawalipendi atii.

Anyway huyu binti sikumla baada ya dhamira kunisuta sana kwamba kufanya hivo ni kumkosea wife, a really sweet, innocent lady. Huyu binti sikuanza kumtongoza mie, alinitega nkaingia kwenye mitego yake. Badae nkaja kuona yuko kimoney sana na mizinga yake sio less than 200000.

Maisha ya ndoa ni complex sana.
 
Pole sana kama yamekukuta.. Ndiyo maisha.. Kaza moyo utapata tuuu...

Hiyo kutembea upande upande.. Inaitwa amekata center bolt...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom