Wadada na waume za watu

Wadada na waume za watu

Mleta mada una safari ndefu sana, na utaumia sana. Coz umeongelea upande mmoja wa kina dada, na mimi naongelea upande huo wa kina dada tu. Iko hivi, mdada single kutembea na mume wa mtu si kosa. Unaanzaje kumwambia ana-cheat....how!!!!. Hata dhamira yake haimgusi, we waulize tu. Hiyo ni mosi, pili.....mke wa mtu au mdada mwenye mahusiano kutembea na mwanaume mwingine hilo ni kosa, kosa kubwa. Hata dhamira zao huwa zinawasuta, we waulize. Kama wapo humu watatoa ushuhuda. Tatizo kuna watu (labda kama wewe) wanawalisha wenzao 'mashudu'. Wanapingana na ukweli. Matokeo yake jamii inakuwa kama Mbuni, kuna tatizo yeye anaficha kichwa tu. Hebu nisijichoshe kuandika, soma hapo down kwanza (japo kuna uwezekano mkubwa hutaelewa).
IMG-20170719-WA0018.jpg
 
Mleta mada una safari ndefu sana, na utaumia sana. Coz umeongelea upande mmoja wa kina dada, na mimi naongelea upande huo wa kina dada tu. Iko hivi, mdada single kutembea na mume wa mtu si kosa. Unaanzaje kumwambia ana-cheat....how!!!!. Hata dhamira yake haimgusi, we waulize tu. Hiyo ni mosi, pili.....mke wa mtu au mdada mwenye mahusiano kutembea na mwanaume mwingine hilo ni kosa, kosa kubwa. Hata dhamira zao huwa zinawasuta, we waulize. Kama wapo humu watatoa ushuhuda. Tatizo kuna watu (labda kama wewe) wanawalisha wenzao 'mashudu'. Wanapingana na ukweli. Matokeo yake jamii inakuwa kama Mbuni, kuna tatizo yeye anaficha kichwa tu. Hebu nisijichoshe kuandika, soma hapo down kwanza (japo kuna uwezekano mkubwa hutaelewa).
View attachment 547056


Umeandika uroto alafu umevaa hijabu, ndo mana huwa nawachojoa hayo manguo ... Funua natupia kimoja napita hivi,, Uninja wote kwixh ney
 
Habari wapendwa,

Wadada leo naomba tujikumbushe kitu kidogo hapa :- Ni kuhusu kuchagua watu wa kuwa nao kwenye mahusiano mf: -kumezuka wimbi la wasichana kupenda kutembea na waume za watu kisa wapate pesa za kujikimu kimaisha kwa upande wangu mimi naona tunakosea sana hiyo tabia na kwanza utachelewa sana maisha kwa kupenda vya dezo mwisho wa siku vitakutokea puani wewe msichana mdogo umeng'ang'ana na mizee isiyojiheshimu kisa anakupa hela na bora hata iwe hela sasa 50000 huoni kama ni dharau?

Yani kakuona jalala la kumwagia taka mwili wake puu! Kwanini wadada tusijikite katika kutafuta maisha? Mume wa mtu akikutongoza ujue kakuona wewe ni dastibini zile za barabarani ambazo kila mpita njia anatupia taka na kwenda zake, yani limtu na mauchafu yake wewe unalikubali maana hakuna malengo yoyote kawashwa huko kaona aje kwako ni bora utulie upate wako asiye na mke ukipenda vya dezo utatumika hadi utakuwa unatembea upande upande.

Tuacheni jamani.
Ukiona wewe mwanamke hujatongozwa na mwanaume mwaka mzima ujue unayo kasoro kubwa mwanamke ni pambo na ana zidi kuwa wa thamani kadri anavyo tongozwa zaidi na hizo ndio principles ku gegedwa ndio Afya mwanamke anayegegedwa zaidi ana Afya bora zaidi ni mcheshi na mwenye furaha muda mwingi na ngozi nyororo hana mahasira hasira ya kijinga na mara nyingi ana mafanikio zaidi kwa sababu anakuwa na utulivu mkubwa kutembea upande hakuna utafiti wowote ulio thibitisha hivyo mapenzi au sex ni kila kitu.

Mke wangu sina vishtobe bhn mbona unakuja kunipaka huku bila taarifa mupenzi ..?? Alafu sijawahi kuwatembeza upande bhn


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada una safari ndefu sana, na utaumia sana. Coz umeongelea upande mmoja wa kina dada, na mimi naongelea upande huo wa kina dada tu. Iko hivi, mdada single kutembea na mume wa mtu si kosa. Unaanzaje kumwambia ana-cheat....how!!!!. Hata dhamira yake haimgusi, we waulize tu. Hiyo ni mosi, pili.....mke wa mtu au mdada mwenye mahusiano kutembea na mwanaume mwingine hilo ni kosa, kosa kubwa. Hata dhamira zao huwa zinawasuta, we waulize. Kama wapo humu watatoa ushuhuda. Tatizo kuna watu (labda kama wewe) wanawalisha wenzao 'mashudu'. Wanapingana na ukweli. Matokeo yake jamii inakuwa kama Mbuni, kuna tatizo yeye anaficha kichwa tu. Hebu nisijichoshe kuandika, soma hapo down kwanza (japo kuna uwezekano mkubwa hutaelewa).
View attachment 547056
Mada umeielewa? Au umesomewa? Ngoja basi nikuelekeze iko hivii: ni ushauri kwa wadada waache kupotezewa muda na waume za watu watachelewa kufanya maisha
 
Ukiona wewe mwanamke hujatongozwa na mwanaume mwaka mzima ujue unayo kasoro kubwa mwanamke ni pambo na ana zidi kuwa wa thamani kadri anavyo tongozwa zaidi na hizo ndio principles ku gegedwa ndio Afya mwanamke anayegegedwa zaidi ana Afya bora zaidi ni mcheshi na mwenye furaha muda mwingi na ngozi nyororo hana mahasira hasira ya kijinga na mara nyingi ana mafanikio zaidi kwa sababu anakuwa na utulivu mkubwa kutembea upande hakuna utafiti wowote ulio thibitisha hivyo mapenzi au sex ni kila kitu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tumesema wadada waache kusex? Au sex inapatikana kwa waume za watu pekee single guyz wamekatika nyeti zao? Acheni kuchochea uzinzi changia madahmada halaf unashangaza kishenzi komenti ndefu kama mkojo yani duu magugu maji tupu mkuu vipi?
 
Umeandika uroto alafu umevaa hijabu, ndo mana huwa nawachojoa hayo manguo ... Funua natupia kimoja napita hivi,, Uninja wote kwixh ney
Mme na wewe kazi yako kunichunguza ninapopita?
 
Tunaambiwa wanawake ni wengi kuzidi wanaume kwa zaidi ya asilimia 3.Sasa hao ambao hawana wanaume waende wapi na kuna dini haziruhusu zaidi ya mke mmoja? Tusidhani wanafanya hivyo kwa kupanda,nao ni wanadamu wanastahili kupendwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kivipi? Inaingiliana vipi na mada? Kha!!udanganyi sio lazima uwe kutoka kwa waume za watu ila hatuongelei udanganyi
wale wadada wanaotembea na waume za watu kwa ajili ya kupata fedha...huo pia ni udangaji hata kama sio lazima
 
Tunaambiwa wanawake ni wengi kuzidi wanaume kwa zaidi ya asilimia 3.Sasa hao ambao hawana wanaume waende wapi na kuna dini haziruhusu zaidi ya mke mmoja? Tusidhani wanafanya hivyo kwa kupanda,nao ni wanadamu wanastahili kupendwa..Acheni kujifariji bwana wanaume kibao single utakuta wanatupenda lkn tunawakwepaga kisa wamefuliaaaa tunatafuta kubanana kwa haohao wachache wenye vihela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwapangie watu namna ya kuishi Pambana na Hali yako kama wao wanapambana na Hali zao kupitia waume za watu me naona sawa tu sijui dust_ bean cjui nini kwani wanagongwa bure?? Au wanaume wenye migogoro na shida ktk ndoa zao unataka Nani awasaidie?? Jaribu basi kuwaza nje ya box
Haki UKIMWI hautatuacha kwa cheni za ngono
 
Atafute na yeye wa kumliwaza hajafungwa miguu why ujipe stress hao mipango ya kando wengine hata sio wasichana ni wake za watu wameamua kutoa stress zao kwa Mme wa mwingine
Ninae tokea zamani siku nikimfumania na mdada huyo dada namjaza chupa
 
Habari wapendwa,

Wadada leo naomba tujikumbushe kitu kidogo hapa :- Ni kuhusu kuchagua watu wa kuwa nao kwenye mahusiano mf: -kumezuka wimbi la wasichana kupenda kutembea na waume za watu kisa wapate pesa za kujikimu kimaisha kwa upande wangu mimi naona tunakosea sana hiyo tabia na kwanza utachelewa sana maisha kwa kupenda vya dezo mwisho wa siku vitakutokea puani wewe msichana mdogo umeng'ang'ana na mizee isiyojiheshimu kisa anakupa hela na bora hata iwe hela sasa 50000 huoni kama ni dharau?

Yani kakuona jalala la kumwagia taka mwili wake puu! Kwanini wadada tusijikite katika kutafuta maisha? Mume wa mtu akikutongoza ujue kakuona wewe ni dastibini zile za barabarani ambazo kila mpita njia anatupia taka na kwenda zake, yani limtu na mauchafu yake wewe unalikubali maana hakuna malengo yoyote kawashwa huko kaona aje kwako ni bora utulie upate wako asiye na mke ukipenda vya dezo utatumika hadi utakuwa unatembea upande upande.

Tuacheni jamani.
Umeongea kitu cha msingi saaaana yaaani tumezidi kwa kweli
 

Kweli wanawake hamtakian
Mazur

Triple A
hahahaaa mimi manka eti nitamjaza si anapenda kujazwa hatosheki chupa itamtoshea kabla ya hapo namvua nguo zote hadharani si mtuhumiwa bwana kwanini wizi wa waume za watu?
 
Back
Top Bottom