Rk10
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,216
- 1,375
Kwa mtazamo wako hakuna single guyz wasio na familia? Mbona umefikiria kirahis hivyo?Asiyetoka na mume wa mtu ni anayetoka na mume BIKIRA. Sidhani kama yupo. Maana hata wanawake bikra ni adimu kuliko makinikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mahasira na mapovu niliokuwa nasema jiwe limekupata nini sex ni sex tu kama ni mume au mke wa mtu hayo ni mambo ya ngoswe waachie wenyewe huwezi kuwa mwalimu wa Maadili kwa dunia nzima angalia mamno yako mtu kutoka nje ya ndoa mojawapo ndio hayo hatosheki au hatoshelezwi huwezi kushindana na maumbile hata wewe mwenyewe upo busy na mambo ya wengine kujifanya mwalimu mtu atachomoka tuKwani tumesema wadada waache kusex? Au sex inapatikana kwa waume za watu pekee single guyz wamekatika nyeti zao? Acheni kuchochea uzinzi changia madahmada halaf unashangaza kishenzi komenti ndefu kama mkojo yani duu magugu maji tupu mkuu vipi?
Kha!!UKIMWI utatumaliza walah kwahiyo ukitoka nje ndio utatosheka?Ndio mahasira na mapovu niliokuwa nasema jiwe limekupata nini sex ni sex tu kama ni mume au mke wa mtu hayo ni mambo ya ngoswe waachie wenyewe huwezi kuwa mwalimu wa Maadili kwa dunia nzima angalia mamno yako mtu kutoka nje ya ndoa mojawapo ndio hayo hatosheki au hatoshelezwi huwezi kushindana na maumbile hata wewe mwenyewe upo busy na mambo ya wengine kujifanya mwalimu mtu atachomoka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Baki njia kuu mkuu kuranda sana hupati ya tofauti kama wewe ni sikio la kufa endelea wengine wameelewa sio lazima na wewe ueleweNdio mahasira na mapovu niliokuwa nasema jiwe limekupata nini sex ni sex tu kama ni mume au mke wa mtu hayo ni mambo ya ngoswe waachie wenyewe huwezi kuwa mwalimu wa Maadili kwa dunia nzima angalia mamno yako mtu kutoka nje ya ndoa mojawapo ndio hayo hatosheki au hatoshelezwi huwezi kushindana na maumbile hata wewe mwenyewe upo busy na mambo ya wengine kujifanya mwalimu mtu atachomoka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata usipotoka unaweza kupata ukimwi kwani wote walio athirika walipata kwa kujamiiana? Tu. Hii ni dunia kila mahali ulipo pana risk hata ukiwa ndani ya gari ni risk lakini cha msingi mtu akitoka nje anaweza kupima au kutumia condomsKha!!UKIMWI utatumaliza walah kwahiyo ukitoka nje ndio utatosheka?
Watu weweeereti kutembea upande ? okey ujumbe mzuri sana wakukusikia na wasikie tu ... kukubali kupewa elfu hamsini ni upungufu wa mipango...... me huwa nasema tembea na mume wa mtu jua unataka nini kwake kama ni pesa iwe ya maana na hakikisha hatesi familia yake kwa ajili yako ukiweza hii principle basi utakuwa ni wale washindi wachache ........... ila pia uzinzi ni dhambi na jiandae pia kuja kuliwa mumeo incase ukiolewa malipo ni hapa hapa duniani...... huwa nawauliza hivi ukija kusikia mumeo anatembea na demu mwingine utajisikiaje HUWA MNAJIBU KWA UJASIRI HAWEZI NA MIMI NAJUA NJIA ZOTE ZA KUMBANA , MY DEAR KEEP IN MIND UKILA VYA WENZIO NA VYAKO TUTAVILA TU RAFIKI.. kila la heri

Sijakufundisha wewe wala sijakuita ukomenti ni kihempe chako hili ni jukwaa la mawazo huru changanya vyako kaendelee na uzinzi ila ukweli ndio huo mimi wadada nawavuaga nguo hata bar nikimkuta na wanguUnayoita njia kuu inawezekana kwa mwingine ni service road maisha hayafiati mpangilio wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapovu ya nini tulia uendelee kuchomwa taratibu utaponaSijakufundisha wewe wala sijakuita ukomenti ni kihempe chako hili ni jukwaa la mawazo huru changanya vyako kaendelee na uzinzi
Truh seh ganja gal i like your name ndo maana una conciousness meditationHivi kwani kila Mme wa mtu anahela,,,,au ndo kale kamsemo "behind the success man there is strong woman" ,,,cha maana watafute pesa zao tuu wapunguze kukinga mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa Ujana bana....HahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaYani hapo huwezi kujua kitu kaa kimya mkuu kumbukumbu ninayo ndefu sana hlf trans gender huijui?
ni nini ivo mkuu ,,ambavo wanavyo za watu single man hawana tujuzeWengine wanatupendea vitu tofauti na pesa. Pesa wanazo wanakuja kupata wasivyovipata kwingineko.
Sent using Jamii Forums mobile app
shukrani jahblessTruh seh ganja gal i like your name ndo maana una conciousness meditation