Wadada na waume za watu

Wadada na waume za watu

Unaweza ukawa na boyfriend wako akakuchosha kuliko huyo mume wa mtu
Nani kakuamba kila anaetoka na mume wa mtu ana shida?
Huo ni uzinzi ni dhambi kuharibu ndoa za watu ndio maana mungu anatupa majanga
 
Ila shida inaanzishwa na wanaume maana si zani kama hawa madada wanatutongoza sisi ndo tunawatongoza unamtongozaje na una wako home?
Ndio waache kukubali maana wanapotezewa muda mume wa mtu hakupeleki popote zaidi ya ujinga tuu
 
Wadada wengi wanapenda
Wanaume wa wenzao
Kwa,sababu anajua atagongwa vizr kushinda
Anavogongwa na bf wake



[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Hapa nimeshaona watu 3 wanatembea na waume za watu...huu uzi hautafika mbali views nyingi comment hamna mnapita kimyakimya
 
eti kutembea upande ? okey ujumbe mzuri sana wakukusikia na wasikie tu ... kukubali kupewa elfu hamsini ni upungufu wa mipango...... me huwa nasema tembea na mume wa mtu jua unataka nini kwake kama ni pesa iwe ya maana na hakikisha hatesi familia yake kwa ajili yako ukiweza hii principle basi utakuwa ni wale washindi wachache ........... ila pia uzinzi ni dhambi na jiandae pia kuja kuliwa mumeo incase ukiolewa malipo ni hapa hapa duniani...... huwa nawauliza hivi ukija kusikia mumeo anatembea na demu mwingine utajisikiaje HUWA MNAJIBU KWA UJASIRI HAWEZI NA MIMI NAJUA NJIA ZOTE ZA KUMBANA , MY DEAR KEEP IN MIND UKILA VYA WENZIO NA VYAKO TUTAVILA TU RAFIKI.. kila la heri
Hahahaaa mbona wanaume wasio na wanawake ni wengi tuu? Kwanini tunapenda kuwafata wale ambao wameshatengenezwa na wake zao? Utakuta wametoka mbali yule mwanaume alikua sii lolote sii chochote angekufata enzi hizo usingekubali mwenzio kamrekebisha jini mkata kamba ndio mimacho inaanza kumtoka
 
Habari wapendwa. Wadada leo naomba tujikumbushe kitu kidogo hapa :- Ni kuhusu kuchagua watu wa kuwa nao kwenye mahusiano mf: -kumezuka wimbi la wasichana kupenda kutembea na waume za watu kisa wapate pesa za kujikimu kimaisha kwa upande wangu mimi naona tunakosea sana hiyo tabia na kwanza utachelewa sana maisha kwa kupenda vya dezo mwisho wa siku vitakutokea puani wewe msichana mdogo umeng'ang'ana na mizee isiyojiheshimu kisa anakupa hela na bora hata iwe hela sasa 50000 huoni kama ni dharau? Yani kakuona jalala la kumwagia taka mwili zake puu!! Kwanini wadada tusijikite katika kutafuta maisha? Mme wa mtu akikutongoza ujue kakuona wewe ni dastibini zile za barabarani ambazo kila mtu anatupia uchafu maana hakuna malengo yoyote kawashwa huko kaona aje kwako ni bora utulie upate wako asiye na mke ukipenda vya dezo utatumika hadi utakuwa unatembea upande upande tuacheni jamani
utachelewa sana isitoshe utachina wenzio na enjoy maisha yenyewe ndio haya haya dniani wawili wawili kama unataka wako peke yako kamuunde kwa seremala
 
utachelewa sana isitoshe utachina wenzio na enjoy maisha yenyewe ndio haya haya dniani wawili wawili kama unataka wako peke yako kamuunde kwa seremala
Wawili wawili? Sasa umeongea nini?
 
Habari wapendwa. Wadada leo naomba tujikumbushe kitu kidogo hapa :- Ni kuhusu kuchagua watu wa kuwa nao kwenye mahusiano mf: -kumezuka wimbi la wasichana kupenda kutembea na waume za watu kisa wapate pesa za kujikimu kimaisha kwa upande wangu mimi naona tunakosea sana hiyo tabia na kwanza utachelewa sana maisha kwa kupenda vya dezo mwisho wa siku vitakutokea puani wewe msichana mdogo umeng'ang'ana na mizee isiyojiheshimu kisa anakupa hela na bora hata iwe hela sasa 50000 huoni kama ni dharau? Yani kakuona jalala la kumwagia taka mwili zake puu!! Kwanini wadada tusijikite katika kutafuta maisha? Mme wa mtu akikutongoza ujue kakuona wewe ni dastibini zile za barabarani ambazo kila mtu anatupia uchafu maana hakuna malengo yoyote kawashwa huko kaona aje kwako ni bora utulie upate wako asiye na mke ukipenda vya dezo utatumika hadi utakuwa unatembea upande upande tuacheni jamani
Mh! Labda watakusikia
 
Hahahaaa mbona wanaume wasio na wanawake ni wengi tuu? Kwanini tunapenda kuwafata wale ambao wameshatengenezwa na wake zao? Utakuta wametoka mbali yule mwanaume alikua sii lolote sii chochote angekufata enzi hizo usingekubali mwenzio kamrekebisha jini mkata kamba ndio mimacho inaanza kumtoka
ha haha mwanaume ndiyo anajua umuhimu wa mkeo .. ukiamua kuwa kipoozeo kwa muda shauri yako.. umri uzuri haukai hapo milele
 
Dah.... ........

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
 
eti kutembea upande ? okey ujumbe mzuri sana wakukusikia na wasikie tu ... kukubali kupewa elfu hamsini ni upungufu wa mipango...... me huwa nasema tembea na mume wa mtu jua unataka nini kwake kama ni pesa iwe ya maana na hakikisha hatesi familia yake kwa ajili yako ukiweza hii principle basi utakuwa ni wale washindi wachache ........... ila pia uzinzi ni dhambi na jiandae pia kuja kuliwa mumeo incase ukiolewa malipo ni hapa hapa duniani...... huwa nawauliza hivi ukija kusikia mumeo anatembea na demu mwingine utajisikiaje HUWA MNAJIBU KWA UJASIRI HAWEZI NA MIMI NAJUA NJIA ZOTE ZA KUMBANA , MY DEAR KEEP IN MIND UKILA VYA WENZIO NA VYAKO TUTAVILA TU RAFIKI.. kila la heri
Maneno kuntu!
 
Kweli wadada wa kichagga tunajielewa sasa wewe unatembea na mme wa mtu mwaka mzima sasa wewe familia utaanzisha lini?
ukiona upo na mume wa mtu mwaka hadi mwaka unatatizo kwenye ubongo wako .. na huku anakuchimba mkwara kupiga simu mwisho sa moja .. na ole wako ubebe mimba na ole wako umguse mkewe na we upo tu kapimwe akili
 
Back
Top Bottom