Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

tulibadilika tukawa binadamu Mimi ndo mkubwa wao so nitafute
hahahaa
Nitafute kwa hii namba 0714 003959 mi ninao hom nawafuga na kuwauza
hawafugiki, hawo ni mchixna
Picha please!
ngoja nitafute
Mi ni Me ila kama unanipa offer ya kuziona chuchu hizo.
hamna, mpaka ulipie
acha mambo yako huto tuchuchu twako tunakupendezaje na hiyo shape ulonayo,usiweke tena wadudu bhana,leta kwa mdudu mkubwa hapa nikuumue
zilishakua
bwana hawang'ati mimi niliwatumia sana,wanapatikana chini ukipita pembezoni mwa majengo kwenye mchanga utaona kama vishimo vyenye mchanga mlaini fukua taratibu na kidole utampata tu
Yah,ulifanikiwa?
Nawakumbuka sana...Na vile utotot tena..
Raha mno
 
Wanapatikana kwenye kingo za kuta..utaona vishimo vyao vilivyochimbwa kiustadi.

Hahaaaa kweli kabisaa aisee, tena haswa penye mchanga mwingi, anavyotumbukia ndani zaidi ndivyo kashimo nako kanatengeneza kama pembe tatu.
 
Mbona ata mm FUKUFUKU tu jmn.
Tena mie ukitaka nakuning'inia kabisa.
Afu nkingata aiumi
 
wanapatikana wapi kama ukiwa dar?????

Mvua ikinyesha nenda pale ambapo maji yanayotoka juu ya bati yameangukia utakuta vijishimo hivi basi we FUKUA-FUKUA utawakuta FUKU-FUKU.
Ila usubirie mvua iishe na pakauke kidogo.
 
Back
Top Bottom