Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

Dah shida yote hiyo ya nini jamani??tafuta jamaa tu akushikeshike hizo nido zako fasta sana tu zinakuwa.
 
Najibu kwa niaba ya... wanapatikana kwenye vumbi la mchanga. Arusha wapo wengi sana.
 
Kuna wadudu fulani miaka ya nyuma tulikuwa tunawafukuwa ardhini halafu unamweka kwenye chuchu eti manyonyo yakuwe...! ..mnawakumbuka??
Walikuwa wanaitwa 'FUKUFUKU'
hivi wanapatikana wapi? white rose

Khaa khaaa khaaaaa! Umenikumbusha mbali sana aisee, tuliwaweka sn ila hata manyonyo hayakui, pia tulikuwa tunawaweka kwenye mchanga wachore ramani, daaah those days jamani, hiyo ni mchana then jioni komborela.
 
Last edited by a moderator:
Tena wakati ule kabla ya kuwakamata kwenye vitobo yao kuna kawimbo tulikuwa tunakaimba. Eti fukufuku baba .... Dah nimekasahau
 
Back
Top Bottom