ndio umenikumbusha zamani kweli, huyo mdudu fuku x2 anapatikana sana maeneo ya mikoa ya pwani, yaani hasa kuanzia kibaha mpaka chalinze huko, maana wanapenda kuishi pembezoni mwa nyumba za udongo wakitafuta joto, chakula, na wanaacha vishimo vidogo sababu wanaishi sana individually na sio kama siafu au mchwa, ukipata fursa tembelea haya maeneo na wenyeji watakuonyesha, hasa watt wa Kizaramo wakiwekwa ndani (mwari) ataagiza tu vitoto vikamchimbie ili siku ya mkole aonekane na yeye kawa mwanamke , jama msiniulize nimeyajuaje haya yote na mm ni mtt wa kiume :A S wink: