Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

Yeah tena sie kuna na vidudu vingine vilikuwaga vinapatikana kisimani kwenye maji vyeusi navyo tulikuwa tunaviweka ving'ate manyonyo yakue, mweeee hata hayakui.

Hahahaaaa,duh hao si walikuwa wagumu sana kukamata?
 
Wewe ni mtaalamu mkubwa katika hii shughuli ya kuvuna fukufuku LOL! mali ghafi hii fikiria tukianza kuexport kama nchi dunia nzima ili wadada waongeze nyonyo zao bila kuguswa na visu. Tutatengeneza pesa nono sana kuliko hata ya dhahabu, gas na rasilimali nyingine combined. Umenikumbusha utoto aisee.

Wanapatikana kwenye kingo za kuta..utaona vishimo vyao vilivyochimbwa kiustadi.
 
Kuna wadudu fulani miaka ya nyuma tulikuwa tunawafukuwa ardhini halafu unamweka kwenye chuchu eti manyonyo yakuwe...! ..mnawakumbuka??
Walikuwa wanaitwa 'FUKUFUKU'
hivi wanapatikana wapi? white rose

Nitafute kwa hii namba 0714 003959 mi ninao hom nawafuga na kuwauza
 
Last edited by a moderator:
Kuna wadudu fulani miaka ya nyuma tulikuwa tunawafukuwa ardhini halafu unamweka kwenye chuchu eti manyonyo yakuwe...! ..mnawakumbuka??
Walikuwa wanaitwa 'FUKUFUKU'
hivi wanapatikana wapi? white rose

acha mambo yako huto tuchuchu twako tunakupendezaje na hiyo shape ulonayo,usiweke tena wadudu bhana,leta kwa mdudu mkubwa hapa nikuumue
 
Last edited by a moderator:
bwana hawang'ati mimi niliwatumia sana,wanapatikana chini ukipita pembezoni mwa majengo kwenye mchanga utaona kama vishimo vyenye mchanga mlaini fukua taratibu na kidole utampata tu
 
Kuna wadudu fulani miaka ya nyuma tulikuwa tunawafukuwa ardhini halafu unamweka kwenye chuchu eti manyonyo yakuwe...! ..mnawakumbuka??
Walikuwa wanaitwa 'FUKUFUKU'
hivi wanapatikana wapi? white rose

Nawakumbuka sana...Na vile utotot tena..
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana kwa kuongeza life span, halafu upige taswira kichwani ya kuwa hapo tulikuwa watoto hivyooo LOL!

Yani enzi hizo akili yote ilikuwA ni kombolela, vidali mpo, kula tumbakshie baba na mambo kama hayo
 
Back
Top Bottom