Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

Hapana mie wadada waliokuwa wanawataka kuwaweka kwenye nyonyo zao wang'atwe nao walikuwa wakiniomba niwawekee maana walikuwa wanaogopa kuwashika si unajua wadada na wadudu. Halafu hawa walikuwa wanatafutwa ardhini kuna namna ya kuwatafuta na mchanga unakuwa katika namna ya pekee ukiona tu mchanga umekaa kihivyo basi ukifukua kidogo tu unawapata walikuwa wanakaa mmoja mmoja. Na ukimpata wadada wanaanza varangati niwekee mimi zamu yangu sasa lol! halafu unaweza kuwa kuna mmoja katika hao wadada ndio mko naye karibu au kwa Kiswahili fasaha unampenda kuliko wengine basi unatunga huyu nilivyomuwekea hakukang'atwa vizuri inabidi nimuwekee tena lol! sawa ukipata mwingine itakuwa zamu yangu lol! utoto raha sana.

Wewe hawakukufaudu?
 
Khaa khaaa khaaaaa! Umenikumbusha mbali sana aisee, tuliwaweka sn ila hata manyonyo hayakui, pia tulikuwa tunawaweka kwenye mchanga wachore ramani, daaah those days jamani, hiyo ni mchana then jioni komborela.

Hata wewe atoto khaaa hehee
 
Last edited by a moderator:
Na ukimpata wadada wanaanza varangati niwekee mimi zamu yangu sasa lol! halafu unaweza kuwa kuna mmoja katika hao wadada ndio mko naye karibu au kwa Kiswahili fasaha unampenda kuliko wengine basi unatunga huyu nilivyomuwekea hakukang'atwa vizuri inabidi nimuwekee tena lol! sawa ukipata mwingine itakuwa zamu yangu
Asante SANa ndugu nimecheka sanaa
 
Tena wakati ule kabla ya kuwakamata kwenye vitobo yao kuna kawimbo tulikuwa tunakaimba. Eti fukufuku baba .... Dah nimekasahau

Hahahaaaa! Daah nami kawimbo nimekasahau aisee
 
Hata wewe atoto khaaa hehee

Yeah tena sie kuna na vidudu vingine vilikuwaga vinapatikana kisimani kwenye maji vyeusi navyo tulikuwa tunaviweka ving'ate manyonyo yakue, mweeee hata hayakui.
 
Last edited by a moderator:
Kwa sasa nipo Dar, mahali nilipo vumbi hakuna, kuna udongo tu, tena upo kwenye bustani ambayo inamwagiliwa kila siku. Nikienda Arusha nitakutumia.

Nitashukuru sanaa
 
Wanapatikana kwenye kingo za kuta..utaona vishimo vyao vilivyochimbwa kiustadi.
 
Back
Top Bottom