Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

Wadada: Mdudu anayekuza manyonyo

Wapo kubwa, sehemu yenye vumbi lililotulia ambalo halivurugwi
 
tetramelyz

Hahaaaaaa umenikumbusha mbali zamani nilikua nikiona wengine wana vi..... Nilikua natamani niwe nayo. Sasa my sister na wenzangu tukadaganywa ukimuweka ang'ate niples yanakua makubwa hafu unanenea. Weka Mpaka basi halikui hata kidogo sijui kwanini walikua wanatudaganya.
 
Last edited by a moderator:
Na wewe uliweka wakung'ate? Ulisikia raha au ulilia baada ya kukang'atwa na mdudu fukufuku? Fukufuku wanafaidi duh!

Hahaaaaaa umenikumbusha mbali zamani nilikua nikiona wengine wana vi..... Nilikua natamani niwe nayo. Sasa my sister na wenzangu tukadaganywa ukimuweka ang'ate niples yanakua makubwa hafu unanenea. Weka Mpaka basi halikui hata kidogo sijui kwanini walikua wanatudaganya.
 
Na wewe uliweka wakung'ate? Ulisikia raha au ulilia baada ya kukang'atwa na mdudu fukufuku? Fukufuku wanafaidi duh!

Walinishawish tu eti wakikung'ata .... Zinakua kubwa. Ni wadudu wadogo hawang'ati sana ka kufinya flani hivi.
Sikulia nilikasirika mana .... Haikukua.
 
Wale wadudu nux kweli, yaani wao hawatembei kwa kwenda mbele bali wanarudi kinyume nyume. Ila wamejaaliwa makali..oossh.
 
Hukukamilisha dozi vinginevyo lazima manyonyo yangeumuka tu na kufikia size uipendayo. Hivi ni mayonyo tu ndiyo yanayoumuka baada ya kukang'atwa na fukufuku? Hukuwahi kusikia kwamba hata ukiwaweka kwenye makalio wowowo nayo yataumuka na kuwa na mvuto wa kipekee?

Walinishawish tu eti wakikung'ata .... Zinakua kubwa. Ni wadudu wadogo hawang'ati sana ka kufinya flani hivi.
Sikulia nilikasirika mana .... Haikukua.
 
Hukukamilisha dozi vinginevyo lazima manyonyo yangeumuka tu na kufikia size uipendayo. Hivi ni mayonyo tu ndiyo yanayoumuka baada ya kukang'atwa na fukufuku? Hukuwahi kusikia kwamba hata ukiwaweka kwenye makalio wowowo nayo yataumuka na kuwa na mvuto wa kipekee?

Hyo illikua daganya Toto tu hata ung'atwe vipi hayakui ng'o mana nikiwa mtoto mi na wenzangu kabla ya kuwa nayo tulikua tu napenda na kujaribishia v.... Fake sasa ili kutupa matumaini wakawa wanatudaganya na hao wadodo.
 
@etramelyz

Muulize Faizafox anajua yanakopatikana maana nasikia alikuza manyonyo yake kwa njia hiyo.
 
Hapo kwenye V umeniacha kwenye mataa, funguka tafadhali kama hutaharibu swaumu yako.

Hyo illikua daganya Toto tu hata ung'atwe vipi hayakui ng'o mana nikiwa mtoto mi na wenzangu kabla ya kuwa nayo tulikua tu napenda na kujaribishia v.... Fake sasa ili kutupa matumaini wakawa wanatudaganya na hao wadodo.
 
Fukufuku tokaaaa, mama yako kaja na maziwa matamuu! Utoto bwana!
 
Back
Top Bottom