Mmh wapi, me sikuona hata Kama viziwa vyake vikikua
viziwa vikubwa kumbe ni dili
Mmh wapi, me sikuona hata Kama viziwa vyake vikikua
Fukufuku tokaaaa, mama yako kaja na maziwa matamuu! Utoto bwana!
Hapo kwenye V umeniacha kwenye mataa, funguka tafadhali kama hutaharibu swaumu yako.
Aaah deal wapi bana, si unajua akili za kitoto ukiona Mtu kavaa sidiria Unaona Kama anafaidi wee. Basi ndo kudanganyana na Hao fuku fuku.viziwa vikubwa kumbe ni dili
Aah hamna bana, me sikuwahi kuweka Fukufuku, muda Huo Mtu alikuwa anawaza tu kuota matiti so hata Kama Fukufuku wanang'ata unavumilia tu mweeeukiona kama ilikuwa ndo kazi yake ujue vilikuwa vinabubunya maziwa yake anasikia raha kwanza istoshe ulikuwa wewe HeavenSent
Wapo kubwa, sehemu yenye vumbi lililotulia ambalo halivurugwi
Wanang'ata kidogo ila unahisi raha/
Usijarbu kujboost kwa kutumia awo wadudu now dayz wana sum
Hahaaaaaa umenikumbusha mbali zamani nilikua nikiona wengine wana vi..... Nilikua natamani niwe nayo. Sasa my sister na wenzangu tukadaganywa ukimuweka ang'ate niples yanakua makubwa hafu unanenea. Weka Mpaka basi halikui hata kidogo sijui kwanini walikua wanatudaganya.
Sredi za mwezi huu tabu kweli kweli....
Dunia inamambo hii loh!!
Na wewe uliweka wakung'ate? Ulisikia raha au ulilia baada ya kukang'atwa na mdudu fukufuku? Fukufuku wanafaidi duh!
Wale wadudu nux kweli, yaani wao hawatembei kwa kwenda mbele bali wanarudi kinyume nyume. Ila wamejaaliwa makali..oossh.
Niwatumie, unawafamu?
Hahaha me sidhani kama vinakuza nilishawahi kujaribu