Wachawi wamemchukua mwanangu

Wachawi wamemchukua mwanangu

pole sana mkuu, siku nyingne unapotafuta mtoto tumia kondom hatarogwa!
 
Siamini watu wanavyoamini uchawi kwa kiasi hiki. Pia tumesoma story na tumefunikwa na kuamini kuwa ni uchawi. What if mleta mada yuko disillusioned na hakutoa content vizuri? aisee tuna shida sana bado; Hii inanikumbusha juu ya aricle iliyotembea kuhusu mgombea urais wa marekani Donald Trump kuhusu yeye kusema watu weusi ni wavivu nk. Ghafla mitandao iliandia mada na kutukana kuwa weupe wamezoe kunyanyasa weusi. Kumbe story hiyo ilizushwa wala mgombea huyo hakuwahi kusema hayo . Yawezekana content haziendani ila nia ni kuwa tutafiti kidogo tusikumbwe na mkumbo wa kutoa majibu mapema.

Najiuliza tu: Kwa nini tunaconclude ni uchawi bila kujua scientific reasons ambazo mtoto mchanga anaweza kukumbwa nazo?Kubadilia sura kwa maiti ni jambo la kawaida- wengine hung'aa wengine huwa weusi. Kuvilia damu pia ni suala la kitabibu?

TUnaambiwa mtoto ni mchangamfu sana- wa siku tatu ? Naona mleta mada pia amechanganyikiwa na majonzi .Ikumbukwe pia binadamu tuna njia nyingi za kuconclude issues kutokana na jinsi tulivyokuzwa , jamii, mazingira, dini nk ila tujaribu kuchambua , kuanisha kutoka dhana mbalimbali ndipo tuweka makisio yetu .
 
Pole sana ndugu yangu. Ila sidhani kama ni sahihi kumzika mtu akiwa wa moto. Labda wataalamu waje kutupa maelezo zaidi.

Mungu ni mkuu sana.
 
Poleni sana.
Angalia kama ndani kilikuwa na jiko la mkaa inaweza kuwa sababu. Mie nshanusurika kumpoteza mtoto hivyo hivyo.
 
Kama ujamuuliza daktari then huna ujasiri wa kusema ni uchawi
 
Mkuu kanambi,, wewe noma Hiyo store ya kutunzia uchawi kwa watoto wa kike imenifanya nichoke hapa nipo hoi.
 
Ndugu Kinyau natamani kujua kutoka kwako Unaamini kwamba MUNGU yupo? au wanaoamini MUNGU pia ni watu wenye uwezo duni wakufikiri tuanzie hapo kwanza.....
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Mungu ni mwema na mwaminifu kila wakati kwa wote wamwitao,kamwe usiahidi kulipa kisasi sababu kisasi ni cha Mungu yeye amesema atalipa,
[TABLE="width: 1022"]
[TR]
[TD="class: xl66, width: 1022"]warumi 12:19 Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.

Zaidi nakushauri kwa sababu umeshazika Muombe Mungu akusaidie kuachilia pia ili muwe na amani kwanza,mama naye apumzike ili badae muombe kurejeshewa kipenzi chenu,njia za Mungu ni za ajabu atakuja kuwashangaza kama mkimuachia yeye[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Pole sana hivi haya mambo yapo kweli Mungu akusaidie
 
nasikia kuna bingwa wa kuwaumbua wachawi kama ana makololo anatuma watu anaibiwa hayo makololo anabaki mweupe
 
Back
Top Bottom