Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,135
Easymutant sio kweli kwamba ni kwa mama na watoto tuu. Na wala sipingi moja kwa moja ila nitakujibu kama ifuatavyo.
Kwa Wamama wajawazito huwa wanamtaka huyu mtoto tuu. Yawezekana wanataka kumuua mtoto, kumteka mtoto, kuchukua baadhi ya viungo vya mtoto n.k hii yote ni kwa ajili ya ulozi/uchawi.
Wamama Wajawazito wanafatiliwa na mauti ya watoto zao na wao wenyewe pindi wakiwa wajawazito. Na ktk ulimwengu wa roho yawekana kuna vitu anavihisi ama kuviota. Hivyo vitu kwa asilimia kubwa huwa ni kweli kabisa.
Wachawi wanaenda mahospitalini kwenye chumba za kujifungulia ili kuchukua damu za wamama pindi wajifunguapo. Ama kwenda kuchukua baadhi ya viungo vya mtoto, kama kitovu, nyota, damu n.k
Du! Hatari! Anyway asante.
Last edited by a moderator: