Wachawi wamemchukua mwanangu

Wachawi wamemchukua mwanangu

Easymutant sio kweli kwamba ni kwa mama na watoto tuu. Na wala sipingi moja kwa moja ila nitakujibu kama ifuatavyo.
Kwa Wamama wajawazito huwa wanamtaka huyu mtoto tuu. Yawezekana wanataka kumuua mtoto, kumteka mtoto, kuchukua baadhi ya viungo vya mtoto n.k hii yote ni kwa ajili ya ulozi/uchawi.
Wamama Wajawazito wanafatiliwa na mauti ya watoto zao na wao wenyewe pindi wakiwa wajawazito. Na ktk ulimwengu wa roho yawekana kuna vitu anavihisi ama kuviota. Hivyo vitu kwa asilimia kubwa huwa ni kweli kabisa.
Wachawi wanaenda mahospitalini kwenye chumba za kujifungulia ili kuchukua damu za wamama pindi wajifunguapo. Ama kwenda kuchukua baadhi ya viungo vya mtoto, kama kitovu, nyota, damu n.k

Du! Hatari! Anyway asante.
 
Last edited by a moderator:
Mchawi ambae anatumika na anajitambua kuwa anaroga ni lazima aue. Kuna mchawi ambae hajitambui kama anatumika kuroga, hii ni hususani wale ambao wanakaribia kupewa uchawi, huwa usiku wanaota ndoto za ajabu ajabu. Mara yupo makaburini, Baharini, yupo sehemu ambayo kuna watu wapo nae na kila atakayemuangalia hawezi kumtambua. Watu wa namna hii huwa wanachukulia na kufanyishwa uchawi bila wao kujua ila NI LAZIMA KWENYE NDOTO AONE VITU FLANI.
Pia kuna hawa wanaotumika na wao wenyewe kujijua, Mchawi lazima aue. Na huwa inafika kipindi anapokosa kafara za nje au akatamani/ikambidi apande ngazi flani ya huwa kafara ya mtu wake wa karibu inahusika sana.
Kinachowasumbua hawa wachawi wadogo ni ile roho ya kichawi ndani yao, asikwambie mtu. Binadamu wa kawaida anaweza asifanye mambo ambayo mchawi anafanya kama kuua ndugu wa karibu au mtu yoyote yule, kunywa damu za watu, kukaa na wachawi wengine n.k kwa hali ya kibinadamu ni ngumu sana ndo maana wanawapandikizia hiyo roho ya uchawi.
Mchawi anapomtoa ndugu yake kafara au anamroga ili aje kufa, akiwa ktk hali ya kibinadamu huwa anaumia vile vile kama ndugu zake wa kawaida wanavyoumia na kulia anaweza kulia, ila akivaa ile roho ya uchawi wakati anaenda kumroga ili aumwe huyo mtu huwa anatamani afe hata apo apo. Anakuwa na ukatili wa kutisha. Na unapoona ktk ukoo wenu kuna jambo baya linatokea basi tambua chanzo kipo ndani ya huohuo ukoo. Na kama ni familia mnateseka basi kuna anayewajua vema ndo anawachezea, tena inawezekana kabisa akawa anashirikiana na ndugu zenu.

Asante mkuu
 
Asante mkuu
Kwa kumalizia tu kuwa uchawi unaweza ukawapewa hata na jirani, ogopa jirani kuja kumpa mwanao jina. Kama huyo jirani hajaokoka, usithubutu mwanao kupewa jina. Majina yana nafasi kubwa saaana na yana maana pana sana ktk ulimwengu wa roho. Jina la mtoto wako mpe mwenyewe maana wewe pekee ndo ujuae usalama wa hilo jina. Ktk madhabahu za kichawi huwa wanatambua washirika wao kwa majina na kila mshirika kuna roho za uchawi anazo. Mshirika anapokufa au kuacha uchawi ina maana na zile roho za uchawi zinarudi ktk ile madhabahu pamoja na lile jina linakuwa halina mtu. Sasa ili kufanya urahisishaji kwa mchawi mpya huwa wanampa jina la yule marehemu, kwahiyo huyo mtoto anabeba tabia na maroho yote mabaya ya yule marehemu. Na wachawi watamtambua huyo mtoto kwa hilo jina.

Mara nyingi huwa ktk falme zao wanatumia majina mengine, ukimuona mtu yoyote aliyeacha uchawi ataweza kukuthibitishia hili. Mtaani au shule anatumia jina hili ila akiwa kule anatumia jina lingine na kama analitumia hilohilo basi ni jina ambalo amepewa tangu akiwa mtoto na hayo maroho huyo mtoto anakuwa nayo.

****Kama una swali niulize PM*****
 
Duh! Wachawi sijui kwanini waliumbwa!

Katika ulimwengu qa roho kuna Falme mbili GIZA na NURU wanaofata NURU niwale wanaomuabudu MUNGU wa Kweli vile vile wanaobudu ufalme wa Giza ni wa shetani....na Falme zote hizo zina nguvu naweza kusema sawa.....so uchaguzi ubaki nao mwanadamu kwahiyo kuwepo kwa wachawi ni moja ya Jamii iliyochagua ufalme wa giza unaoongozwa na shetani....
 
Katika ulimwengu qa roho kuna Falme mbili GIZA na NURU wanaofata NURU niwale wanaomuabudu MUNGU wa Kweli vile vile wanaobudu ufalme wa Giza ni wa shetani....na Falme zote hizo zina nguvu naweza kusema sawa.....so uchaguzi ubaki nao mwanadamu kwahiyo kuwepo kwa wachawi ni moja ya Jamii iliyochagua ufalme wa giza unaoongozwa na shetani....

Yohana 1:5 inasema kuwa nuru yang'aa gizani na wala giza halikuiweza nuru. Hizi falme hazipo sawa Mkuu, Mungu huwezi kumlimganisha na shetani kwa nguvu ama kwa chochote kile. Biblia inasema Giza halikuiweza Nuru nayo Nuru yang'aa gizani. Nuru ndie Yesu Kristo. Hakuna mchawi wala mganga wakuweza kukuharibu ukiwa umefunikwa na Nuru ya Kristo Yesu. Amina.
 
Yohana 1:5 inasema kuwa nuru yang'aa gizani na wala giza halikuiweza nuru. Hizi falme hazipo sawa Mkuu, Mungu huwezi kumlimganisha na shetani kwa nguvu ama kwa chochote kile. Biblia inasema Giza halikuiweza Nuru nayo Nuru yang'aa gizani. Nuru ndie Yesu Kristo. Hakuna mchawi wala mganga wakuweza kukuharibu ukiwa umefunikwa na Nuru ya Kristo Yesu. Amina.

Ubarikiwe mtumishi wa Mungu huo ndio ukweli
Hakuna uganga wala uchawi kwa mutu aliye ndani ya kristo.
 
Yohana 1:5 inasema kuwa nuru yang'aa gizani na wala giza halikuiweza nuru. Hizi falme hazipo sawa Mkuu, Mungu huwezi kumlimganisha na shetani kwa nguvu ama kwa chochote kile. Biblia inasema Giza halikuiweza Nuru nayo Nuru yang'aa gizani. Nuru ndie Yesu Kristo. Hakuna mchawi wala mganga wakuweza kukuharibu ukiwa umefunikwa na Nuru ya Kristo Yesu. Amina.

Nikweli kwamba GIZA halikuiweza NURU sikusema kuwa GIZA linaiweza NURU hapana nilichosema hizo falme kwakuwa zinapingana (NAWEZA KUSEMA ) ziko sawa kwa maana ya zinavyoshindana sio kwamba....ZIKO SAWA point yangu iko hapo....
 
kuna threas ilikua inasema asilimia 60 ya Watanzania wanaamini ushirikina. kwa kusoma comments tu naanza kuamini

Pole sana ndugu hata mimi nilishapatwa na janga kama lako. Hilo tatizo lililosababisha mauti ya mwanao nitatizo analopata wakati anazaliwa na nadiliki kusema ni uzembe wa wakunga. Hii inatokana na njia ya mzazi kuwa ndogo(ila sio ya kufanyiwa upasuaji) kwahiyo wakati mama anajifungua inatakiwa mkunga amsaidie kumvuta mtoto badala ya kuachwa akasukuma mwenyewe. Akiachwa mzazi kusukuma mtoto peke yake itasababisha atumie mda mrefu kujifungua huku mtoto anatoka amebanwa mwili na ni kwasababu viungo havijakomaa itasababisha damu ivilie ndani kichwani, puani mdomoni hata kifuani . kwa kifupi wakunga wengi ama hawajui au makusudi husababisha vifo vya wachanga wengi wakati wa kujifungua..

Mama alimuacha peke yake? Kwa nn hukuenda kupima akitobolewa na nini? Km je paka alitaka kumla? Jmn usirukie upande mmoja tu na kutoa conclusion. Pole sana

Unasema hukuuliza mtoto kafa kwa ugonjwa gani halafu unadai karogwa?!! Acha fikra za kizamani Mkuu,
.

Yani hakuna aliyejishughulisha kutoa maelezo yoyote ya kitabibu.

Ndo walewale bibi mchana kaenda kulima alikuwa mzima, alivyorudi kaumwa. Kafa uaingizini. Wamemroga bibi yetu. . Wakati alipata stroke.

Ukiokota mtoto wa paka barabarani ukamlee nyumbani, utaambiwa "shauri zako subiri akuongeleshe, embu tupa huo uchawi". Wakati wenzenu wakiokota wanyama wanawajali kama binadamu.

NDOMANA HAMUENDELEI! Kila kitu uchawi.

the Counsellor. pole kwa kufiwa. tafuta maelezo ya kitabibu. Hakuna aliyemroga mwanao
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi ndugu yenu nimefiwa,

Nina majonzi sana na hasira kali moyoni mwangu, mke wangu alijifungua juzi saa 2 usiku katika hospitali ya wilaya ya Maswa, mtoto alikuwa wa kike na mwenye afya njema, mzuri wa sura na mchangamfu sana.

Jana mida ya saa 4 usiku tukashangaa kumkuta mtoto kalegea na anatokwa damu masikioni na mdomoni na hakuwa akihema, ikabidi tumkimbize hospitali haraka sana, kufika hospitali tukaambiwa ameshafariki dunia, sikumuuliza Dr ni nini kimemuua mwanangu nilikuwa nimechanganyikiwa, kufika nyumbani mwanangu sura yake ilikuwa imebadilika kabisa na siyo yake.

Mchana wa leo wakati maiti inaandaliwa kuvikwa sanda tumeona mambo yasiyo ya kawaida katika mwili wa mwanangu, mwili wake katika sehemu za mbavu umetobolewa tobolewa na kubadilika rangi ikawa kahawia, kucha zake zote zimekuwa nyeusi kama aliyevilia damu, mwili wake ni wa moto kama vile yu hai.

Wakati alikufa tangu jana usiku, amebadilika na kuwa mweupe kupindukia, nimemzika mwanangu kwa majonzi sana, naapa lazima nitalipa kisasi, roho inaniuma sana ndugu zangu, sina niliyemkosea.

umri wa siku tatu?
 
Kwa kumalizia tu kuwa uchawi unaweza ukawapewa hata na jirani, ogopa jirani kuja kumpa mwanao jina. Kama huyo jirani hajaokoka, usithubutu mwanao kupewa jina. Majina yana nafasi kubwa saaana na yana maana pana sana ktk ulimwengu wa roho. Jina la mtoto wako mpe mwenyewe maana wewe pekee ndo ujuae usalama wa hilo jina. Ktk madhabahu za kichawi huwa wanatambua washirika wao kwa majina na kila mshirika kuna roho za uchawi anazo. Mshirika anapokufa au kuacha uchawi ina maana na zile roho za uchawi zinarudi ktk ile madhabahu pamoja na lile jina linakuwa halina mtu. Sasa ili kufanya urahisishaji kwa mchawi mpya huwa wanampa jina la yule marehemu, kwahiyo huyo mtoto anabeba tabia na maroho yote mabaya ya yule marehemu. Na wachawi watamtambua huyo mtoto kwa hilo jina.

Mara nyingi huwa ktk falme zao wanatumia majina mengine, ukimuona mtu yoyote aliyeacha uchawi ataweza kukuthibitishia hili. Mtaani au shule anatumia jina hili ila akiwa kule anatumia jina lingine na kama analitumia hilohilo basi ni jina ambalo amepewa tangu akiwa mtoto na hayo maroho huyo mtoto anakuwa nayo.

****Kama una swali niulize PM*****

Dah unafanya nistaajabu kumbe mambo ya ajabu ivi asee:Nataka kujua maana ya jina la "kijakazi"plz
 
Uchawi uwezi kuutenganisha na familia ndugu.Mzazi au wazazi kwani familia za hivo huwa hakuna maendelea,watu hufa katika mazingira ya kutatanisha,umaskini nk nimefanya utafiti huwo kwenye kooo nyingi za kichaga utakuta wale wenye hayo mambo ni wahanga wa setback.Ndio maana sina hakika sana wamama au wababa walikuwa lazima wawe na mtoto nje ya ukoo ule ili laana za uchawi au mizimu zisiwamalize wote mmoja awe amesalimika

Kwani ilikuwa lazima kuwataja wachaga in direct mkuu.
 
Yohana 1:5 inasema kuwa nuru yang'aa gizani na wala giza halikuiweza nuru. Hizi falme hazipo sawa Mkuu, Mungu huwezi kumlimganisha na shetani kwa nguvu ama kwa chochote kile. Biblia inasema Giza halikuiweza Nuru nayo Nuru yang'aa gizani. Nuru ndie Yesu Kristo. Hakuna mchawi wala mganga wakuweza kukuharibu ukiwa umefunikwa na Nuru ya Kristo Yesu. Amina.

Hapana uganga juu ya Israel wala hapana uchawi juu ya Yakobo
 
Dah unafanya nistaajabu kumbe mambo ya ajabu ivi asee:Nataka kujua maana ya jina la "kijakazi"plz

Mkuu kuwa makini sana na Jina ..lako..aidha unalompa Mtoto....ikiwa una mashaka na jina lako kwamba hujui asili yake Fanya fasta ulikomboe....Tatizo wengi wetu hasa tuliozaliwa vijijini.....Tunakawaida yakupeana majina labda ya Shangaz...Mjomba...babu...Tunafanya km kumuenzi huyo mwenye jina ni Hatari sana maana ataishi maisha ya mmliki wa hilo jina Jitahidi kutafuta mafundisho yanayohusu Nguvu ya Majina na Asili ya kuzaliwa kwako ndio utaelewa vzr
 
Mkuu kuwa makini sana na Jina ..lako..aidha unalompa Mtoto....ikiwa una mashaka na jina lako kwamba hujui asili yake Fanya fasta ulikomboe....Tatizo wengi wetu hasa tuliozaliwa vijijini.....Tunakawaida yakupeana majina labda ya Shangaz...Mjomba...babu...Tunafanya km kumuenzi huyo mwenye jina ni Hatari sana maana ataishi maisha ya mmliki wa hilo jina Jitahidi kutafuta mafundisho yanayohusu Nguvu ya Majina na Asili ya kuzaliwa kwako ndio utaelewa vzr

Asante nashukulu kwa ufafanuzi zaid ubarikiwe
 
Wanajamvi ndugu yenu nimefiwa,

Nina majonzi sana na hasira kali moyoni mwangu, mke wangu alijifungua juzi saa 2 usiku katika hospitali ya wilaya ya Maswa, mtoto alikuwa wa kike na mwenye afya njema, mzuri wa sura na mchangamfu sana.

Jana mida ya saa 4 usiku tukashangaa kumkuta mtoto kalegea na anatokwa damu masikioni na mdomoni na hakuwa akihema, ikabidi tumkimbize hospitali haraka sana, kufika hospitali tukaambiwa ameshafariki dunia, sikumuuliza Dr ni nini kimemuua mwanangu nilikuwa nimechanganyikiwa, kufika nyumbani mwanangu sura yake ilikuwa imebadilika kabisa na siyo yake.

Mchana wa leo wakati maiti inaandaliwa kuvikwa sanda tumeona mambo yasiyo ya kawaida katika mwili wa mwanangu, mwili wake katika sehemu za mbavu umetobolewa tobolewa na kubadilika rangi ikawa kahawia, kucha zake zote zimekuwa nyeusi kama aliyevilia damu, mwili wake ni wa moto kama vile yu hai.

Wakati alikufa tangu jana usiku, amebadilika na kuwa mweupe kupindukia, nimemzika mwanangu kwa majonzi sana, naapa lazima nitalipa kisasi, roho inaniuma sana ndugu zangu, sina niliyemkosea.
Pole mkuu, eti wanasema kama ni wachawi wamemchukuwa ukifukuwa kaburi humkuti. Usifanye hivyo.
 
Mkuu peleleza sana na ukimpata mi ntakusaidia kumshughulikia. Ntahakikisha kila siku naondoa kiungo kimoja kimoja kuanzia miguu, mikono, macho na mwisho ntamchemsha kwenye mafuta ya moto mpaka aive then ndo naenda kumzika mwenyewe. Dawa ya moto ni moto tu hakuna namna ya kupunguza hasira.
 
Back
Top Bottom