Wachawi wamemchukua mwanangu

Wachawi wamemchukua mwanangu

Pole sana ndugu najua maumivu na sononi uliyonayo mpendwa ktk kipindi hili. Nakushuhudia,Mimi mwenyewe nilifiwa na Mwanangu wa miezi 8 ghafla alichomwa sindano ya maleria mchana akafariki usiku. hakua amezidiwa. nilibaki na maumivu yasioisha., nilikaribia kupata stroke kwa mawazo. nilishauriwa na Dr kupunguza mawazo ili nijiokoe. hakika ni maumivu yanayonitesa kila siku. niliamua kumkimbilia Mungu, maana yy ndo aliruhusu hilo litokeee. na angetaka mwanangu aishi Angeishi. hiyo ni mwezi wa 4.mpk Leo naona kama ni Jana tu. kila nikikumbuka naishiwa nguvu,moyo unaenda mbio. nalia machozi yasioisha.RIP my son. pole na wewe mdg yangu. Tumkimbilie Bwana Yesu tu. limeshatokea. Mungu akutie nguvu
 
Kama ushawahi kusikia wachawi huwa wanaendesha ndege zao kama ungo kupitia manii za wanaume basi tambua ni kweli kabisa, wanawake wana faida kubwa sana ktk uchawi.
Mwanamke mchawi anawekewa pando ndani ya uke wake, kazi ya hilo pando ni kushikilia shahawa za mwnaume ambae atafanya mapenzi na huyo mchawi. Pia wachawi wanaweza wakaweka hilo pando hata kwa mwanamke ambae sio mchawi ili kwamba wakati akilala na mwanaume basi zile mbegu wao wazichukue na kuzitumia.

Ndugu kumbe uko vzr hapa umegonga mle mle haya ni miongoni mwa majanga yaliyonikuta....MTU alikuwa na mwanae wa maagano...akamfanyia hiyo maneno aaaarg.....acha ndg yangu....
 
Rafiki Vitaimana huwezi kushindana na mchawi kichawi ukafanikiwa naongea kwa uzoefu niliokutana nao Mimi khs hao watu....
 
Last edited by a moderator:
hv mkuu NDUKI kapita hapa? hebu tupe chochote mkuu katika hili

Hapana kiongozi sikuwahi kupita hapa nadhani ndio nimeona tag yako ila naamini kwa page zote hizo 9 i hope atakuwa amepata ushauri wa kina mkuu coz nimeona mwisho mwisho hapo nimeona comment ya Doctor na video juu i hope atakuwa amepata pa kuanzia.

Na pia nimekuwa nikibanwa mno siku hizi kupitia hapa jamvini nimekuwa mvivu kidogo, hivyo hata itaniwia ugumu kuweza kupitia comments zote za wachangiaji ili kuweza kujua kipi kimeshasemwa au kipi bado ila kikubwa anbacho alitakiwa kufanya asingemzika na pia kama alilala matanga asingelala matanga angeanzia hapo kutafuta ni nini chanzo cha kifo cha mwanae. Na pia asisubiri muda ukasogea sana coz watoto wadogo huwa hawacheleweshwi kama mtu mzima ili waende kufanya kazi either za kulima au kazi nyingine laa, watu wazima huwa kuna muda ukifika hukatwa ulimi na hutumikishwa kwenye kazi ikifikia hatua hiyo huwa ni kazi mno kumrudisha nduguyo. Ila kwa watoto wachanga huwa na vitu special ambavyo huhitajika na wachawi kwa hivyo huwa hawacheleweshwi kwa hiyo pia nakusihi usichelewe katika kutafuta chanzo cha kifo cha mwanetu mpendwa mkuu The Counseller.

Na pia utupe na feedback wapi umefikia. Pole sana kiongozi.

SHUKRAN.
 
Last edited by a moderator:
Rafiki Vitaimana huwezi kushindana na mchawi kichawi ukafanikiwa naongea kwa uzoefu niliokutana nao Mimi khs hao watu....

I wish kila mtu angekuelewa. Huwezi kupigana na ulimwengu wa giza kwa nguvu za giza "Never". Wale wenzetu hawana cha kupoteza, atapledge sadaka kubwa au kuweka maagano makubwa kukuumiza na wewe utashindwa tu. Coz hadi umshinde ni lazima utoe sadaka kubwa kuliko aliyoitoa yeye. Na you never know unaweza ukaangamiza kizazi chako chote kisa kushindana na wachawi. Mtu ambaye kumtoa kafara mwanaye wa pekee haoni tatizo, atakutendaje wewe usiye na undugu naye?
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mtoa mada, rudi madhabahuni pa Mungu aliye hai katika Yesu Kristo nawe utapata haki yako.
 
I wish kila mtu angekuelewa. Huwezi kupigana na ulimwengu wa giza kwa nguvu za giza "Never". Wale wenzetu hawana cha kupoteza, atapledge sadaka kubwa au kuweka maagano makubwa kukuumiza na wewe utashindwa tu. Coz hadi umshinde ni lazima utoe sadaka kubwa kuliko aliyoitoa yeye. Na you never know unaweza ukaangamiza kizazi chako chote kisa kushindana na wachawi. Mtu ambaye kumtoa kafara mwanaye wa pekee haoni tatizo, atakutendaje wewe usiye na undugu naye?

Nimekupenda bure bidada
 
I wish kila mtu angekuelewa. Huwezi kupigana na ulimwengu wa giza kwa nguvu za giza "Never". Wale wenzetu hawana cha kupoteza, atapledge sadaka kubwa au kuweka maagano makubwa kukuumiza na wewe utashindwa tu. Coz hadi umshinde ni lazima utoe sadaka kubwa kuliko aliyoitoa yeye. Na you never know unaweza ukaangamiza kizazi chako chote kisa kushindana na wachawi. Mtu ambaye kumtoa kafara mwanaye wa pekee haoni tatizo, atakutendaje wewe usiye na undugu naye?

Rafiki acha kabisa mimi nilikuwa napambana na MTU hatari sana kiukweli sikumjua vzr B4 kwanza ni aliekuwa na Pesa bt siri kubwa ya utajiri wake ni kafara za Damu...so...mimi pamoja na mambo yote Kafara kubwa aliyonifanyia alichukua Damu mbichi kutoka kwenye Sehemu za siri za wanawake wawili sio damu ya kuBREED kimekatwa king'amuzi damu yake ndio nikaapiziwa niambie Kafara km hiyo utailipaje....nilihangaika sana kwa waganga nilichakaa kweli kweli hadi siku nilipo ufunuo wa kukimbilia Kanisani...nasikitika kuna watu hawaamini uchawi nasema ikiwa MTU hayajamtokea anaweza kupinga ila cc wengine hatuhadithiwi nivitu vimetutokea Live acheni MUNGU aitwe kwa jina hilo kiukweli kuna majitu yanaujua kuutumia ulimwengu wa ROHO kwa shetani above 100%
 
Rafiki acha kabisa mimi nilikuwa napambana na MTU hatari sana kiukweli sikumjua vzr B4 kwanza ni aliekuwa na Pesa bt siri kubwa ya utajiri wake ni kafara za Damu...so...mimi pamoja na mambo yote Kafara kubwa aliyonifanyia alichukua Damu mbichi kutoka kwenye Sehemu za siri za wanawake wawili sio damu ya kuBREED kimekatwa king'amuzi damu yake ndio nikaapiziwa niambie Kafara km hiyo utailipaje....nilihangaika sana kwa waganga nilichakaa kweli kweli hadi siku nilipo ufunuo wa kukimbilia Kanisani...nasikitika kuna watu hawaamini uchawi nasema ikiwa MTU hayajamtokea anaweza kupinga ila cc wengine hatuhadithiwi nivitu vimetutokea Live acheni MUNGU aitwe kwa jina hilo kiukweli kuna majitu yanaujua kuutumia ulimwengu wa ROHO kwa shetani above 100%
Duuh pole sana mpendwa, binadamu hujamkosea kitu but mambo atakayokufanyia hutaamini. Of coz hivi Vitu ukivisikia unaweza ukahisi ni story tu, but omba Mungu yasikukute. Mwacheni Mungu aitwe Mungu maana pasipo yeye hakuna litakalofanyika, let alone kupambana na hao maadui zako
 
Nimekupenda bure bidada
Unipende tu kila siku lol

Kuna somo ulishawahi toa humu kwamba kuna sehemu ya vipato vyetu tunamuibia Mungu ( fungu la kumi) na kwa hilo tunazuia baadhi ya baraka zetu.
Imagine wafanyabiashara wawili wanaofanya biashara moja. Mmoja ni mtu wa dini wa kawaida na mwingine ni mtumia nguvu za giza na wote wanaomba kwa "Mungu" wao biashara zao zifanikiwe. Mtu wa dini yeye kutoa tu sadaka za kawaida ni mgumu na kutoa hilo fungu la kumi ndo anaona mchungaji atanunulia gari kabisa. While huyu mtumia nguvu za giza yeye dakika moja ashamtoa kafara mwanae, dakika ya 2 kamtoa mama ake mzazi; afu still utegemee biashara yako imshinde mchawi, endelea kuota.

Hawa wenzetu wanajua siri iliyopo kwenye utoaji na wanajua kutoa sadaka nzito. Bahati mbaya tu ni kwamba hizo wanazoziona kwao ni baraka si baraka kweli na mwishoni wataangamia tu
 
Mamndenyi
Funguka tafadhali
Kwa manufaa ya jukwaa hili

Kupikia jiko la mkaa kwenye sehemu ambayo haina hewa ya kutosha ni hatari sana, wakati mkaa unaungua huwa unatoa hewa inayoitwa Carbon Monoxide, madhara ya hii hewa kwenye mwili wa binadamu baada ya kuivuta ni kuwa inaimaliza/ inaiua oxygen kwenye damu, yaani hii gesi ukishaivuta inaizuia damu kubeba oxygen, hivyo damu inakuwa haina oxygen na ubongo pia, (sijajua kueleza vizuri hapo kwa lugha ya mama)

Cc: Mamndenyi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kanambi,, wewe noma Hiyo store ya kutunzia uchawi kwa watoto wa kike imenifanya nichoke hapa nipo hoi.

Hii ishu niliambiwaga, na kupitia kunjunjana na ke unakuwa unafungua milango ya kuingiliwa na miroho michafu.

Yaani kama ulikuwa hulogeki njia moja ya kufungua milango yako ulogeke ni uzinzi.

Eti mkuu A.Kunambi ni kweli??
 
Last edited by a moderator:
Niite nam nitakuitikia na kukuonyesh mamb makuu na yaajab usiyo yajua. Nakushaur hakun jamb linalo mshnd mung mlilie yey nd mtoa hukum wa mwish na kumbuk malipo ni hap hap so mwchie yy anawez

Mkuu tafadhali rekebisha uandishi wako, hapa ni JF kwa GT.
 
Pole sana mkuu kwa kumpoteza malaika huyo.
Inashauriwa ukigundua mtoto amefariki katika nguvu za giza usimzike ungepambana na maombi mno na majibu yake ungeyaona ontime kama imani yako ni kama yangu lakin.
.

Na siku zote watoto wachanga wanatafutwa sana na wachawi kuna kanisa ukiwa interested ntakuagizia hao mashaitwan watakoma!
 
Unipende tu kila siku lol

Kuna somo ulishawahi toa humu kwamba kuna sehemu ya vipato vyetu tunamuibia Mungu ( fungu la kumi) na kwa hilo tunazuia baadhi ya baraka zetu.
Imagine wafanyabiashara wawili wanaofanya biashara moja. Mmoja ni mtu wa dini wa kawaida na mwingine ni mtumia nguvu za giza na wote wanaomba kwa "Mungu" wao biashara zao zifanikiwe. Mtu wa dini yeye kutoa tu sadaka za kawaida ni mgumu na kutoa hilo fungu la kumi ndo anaona mchungaji atanunulia gari kabisa. While huyu mtumia nguvu za giza yeye dakika moja ashamtoa kafara mwanae, dakika ya 2 kamtoa mama ake mzazi; afu still utegemee biashara yako imshinde mchawi, endelea kuota.

Hawa wenzetu wanajua siri iliyopo kwenye utoaji na wanajua kutoa sadaka nzito. Bahati mbaya tu ni kwamba hizo wanazoziona kwao ni baraka si baraka kweli na mwishoni wataangamia tu

Yaani kuhusu sadaka kama ni kisu kimefikia mfupa! Umepiga mulemule.

Yaani tunamwibia Mungu!
 
Afu still tunataka tufanikiwe sawa na wanaomtolea Mungu kwa uaminifu; tutakaa hapa hapa

Kutoa sadaka STAHIKI kwetu tulio wengi ni kitu kigumu na roho inauma!

Japo nilishafundishwa somo juu ya nguvu ya sadaka naona shetani huwa anasimama hapo ili tusitoe.

Hakika hii ni vita.

Ahsante kwa kunikumbusha mkuu Heaven Sent
 
Last edited by a moderator:
MKuu The Counseller.

Pole sana muweke Mungu mbele yote ni majaribu.

RIP Mtoto mpendwa
 
Back
Top Bottom