Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Exactly mkuu, shetani hapigani tu vita visivyo na faida. Atakupiga vita especially kwenye eneo ambalo anajua Kuwa ukichomoka tu umewin; pale pale baraka yako ilipo ndo anakuyumbishaKutoa sadaka STAHIKI kwetu tulio wengi ni kitu kigumu na roho inauma!
Japo nilishafundishwa somo juu ya nguvu ya sadaka naona shetani huwa anasimama hapo ili tusitoe.
Hakika hii ni vita.
Ahsante kwa kunikumbusha mkuu Heaven Sent
Teh mpendwa tukatoe kweli, tusiishie tu kutiana mioyo. Sadaka ina nguvu kubwa sana, ni mlango wa kufikia baraka zetu
Last edited by a moderator: