Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,312
- 95,029
Mitambiko sio ushirikina ni taratibu za mila na desturi za kabila husika ,sema ukoloni ulivyoingia waliamua kuzipa mila zetu majina mabaya.
Ushirikina ni kitu gani?
Mitambiko sio ushirikina ni taratibu za mila na desturi za kabila husika ,sema ukoloni ulivyoingia waliamua kuzipa mila zetu majina mabaya.
Yes upo sahii, hatuchagui Cha kufanya ilimradi kinaleta pesaSisi wachaga ni Utapeli hakuna zaid..
Hakuna ushirikina , ila kila jamii inapenda kuzipa desturi za jamii nyingne jina hilo ,wakiona desturi zao ni bora na sahihi zaidi .Ushirikina ni kitu gani?
Matambiko na kuoga dawa ( kwa waganga) ni tofauti sana. Kila kabila lina matambiko yake.Wanaendaga kuoga dawa kila mwisho wa mwaka tarhe 25 december to jan 1 pia hufanya matambiko na ibada za kichawi ili mizimu ya babu zao iwape utajiri na wakija humu jukwaani hujifanya wanaponda sana mambo ya waganga na kujifanya wao ni watu wa mungu na degree zao za hapa na pale
Mbona sasa Mamangi mnalewa sana?Wachaga hatunaga mambo ya kuhonga honga kizembe, tuna discipline ya hela.
Hakuna ushirikina , ila kila jamii inapenda kuzipa desturi za jamii nyingne jina hilo ,wakiona desturi zao ni bora na sahihi zaidi .
Hiyo ni desturi tangu kale na kale pombe ni kinywaji kitakatifu kwenye mila na desturi za wachagaMbona sasa Mamangi mnalewa sana?
wana Yanga mbege namkisusioNiseme tu kwanza mimi sio mchaga na wala sina unasaba wowote na kabila hilo ila kiukweli nahusudu sana mafanikio ya wanaotoka kabila hili na kuwaomba watuanikie siri ya mafanikio yao.
Maana kama hizi shule wote tunasoma nao shule hizihizi tena wengi wao wala hawana maajabu huko madarasani ila wenzetu hawa mkikutana miaka kadhaa baadaye unakuta wewe upo hapa yeye yupo kuleee.
Siri nini wakuu? wengine tunakosea wapi?
Hizo ni mila na taratibu za hiyo jamii , je unafikiri ni sahihi kuomba Mungu asiye onyesha hata dalili uwepo wake?Tufanye jina la desturi hiyo liitwe tambiko na sio ushirikina...
Je, kwa akili ya kawaida tu unaona ni sahihi kwa mwanadamu aliyehai, kwenda kuwaomba msaada wa kimaisha na mambo mengine wanadamu waliokufa (wafu)?
Pole sana bidada.Wanaendaga kuoga dawa kila mwisho wa mwaka tarhe 25 december to jan 1 pia hufanya matambiko na ibada za kichawi ili mizimu ya babu zao iwape utajiri na wakija humu jukwaani hujifanya wanaponda sana mambo ya waganga na kujifanya wao ni watu wa mungu na degree zao za hapa na pale
Niseme tu kwanza mimi sio mchaga na wala sina unasaba wowote na kabila hilo ila kiukweli nahusudu sana mafanikio ya wanaotoka kabila hili na kuwaomba watuanikie siri ya mafanikio yao.
Maana kama hizi shule wote tunasoma nao shule hizihizi tena wengi wao wala hawana maajabu huko madarasani ila wenzetu hawa mkikutana miaka kadhaa baadaye unakuta wewe upo hapa yeye yupo kuleee.
Siri nini wakuu? wengine tunakosea wapi?
Nilikua na mpango wa kukualika migombani Christmas ya 2024, but never mind!😑Hapa umetushika masikio...
Matambiko na zile mishemishe za kuongea makaburini mkirudi migombani huwa unaona jambo la kawaida sio?
Kifupi ni ubahiliNi
Nidhamu ya PESA ni kuwa na kiasi katika kipato chako unachopata ah unachoingiza kupitia katika biashara yako, kazi n.k
Ili kufika hatua ya kuwa na nidhamu ya pesa huenda sambamba na kujinyima starehe za muda mfupi Kama 👇🏾
@ Pombe
@ Bangi, sigara
@ wanawake ,kuhonga PESA n.k
@ mitoko ya weekend , party n.k
@ kukaa mbali na liabilities
Baada ya hapo hela utakayofanikiwa kuipata utaweka AKIBA then utaangalia wapi uendelee kufanya uwekezaji
Nb kuwa na nadhamu ya pesa hutegemea zaidi na kiwango chako cha kuzikabili hisia zako na za watu wengine Emotional intelligence.