Wachaga nini siri ya mafanikio yenu?

Wachaga nini siri ya mafanikio yenu?

Nilikua na mpango wa kukualika migombani Christmas ya 2024, but never mind!😑

😊
Sweetheart, mimi jina langu halipo kwenye vitabu vya ukoo kule Marangu...

Tutapandisha tu wote mlimani ikifika Disemba...

Ile supu ya asubuhi wataka kunywa mwenyewe mama?
 
Kuna chembe chembe za ukweli kuhusu hoja hizi.
Lakini Kwa upande mwingine (dark side) ni kwamba wenzetu hawa wengi wao wanapenda Sana 'Madili ya Magendo.' Wanapenda Sana Sana Sana!
Mchagga na Magendo ni kama Samaki na Maji, huwezi kuvitenganisha halafu bado vikaendelea ku-exist.
Hili ndio jibu sahihi...like neno shortcut wanalitumia vizuri..
 
Kutokupenda mkakuu.
Elimu kwa mchaga inakuja baada ya Mungu.
Kusafiri ulaya na marekani.
Kupendana, ukiwaku hata nje ya nchi wao ni wamoja.
Tajiri wa utali juzi pale Arusha alikuwa akiongea na makonda, kwa mwaka mapato yake ni karibu bilioni 32 na alisema pale na benki ana bilioni 91 na analipa kodi, lakini mwangalie yule Mrombo-ndio maana mtu akiambiwa bilionea wa kichaga huwa anaboisha .

Kuchagua mke mchaga na asiye na makuu, huwezi kumjua mke wa Davis Mosha, shirima wa Precision Air, Garden Habash, na wachaga wengi ila makabila mengine mume akinunua tu hata IST lazma aende Clouds kutangaza.
Wachaga na na kupendeza ni mbingu na ardhi ni wachache unaweza kuwajua kua ni maboss.
 
●Kusaidiana

●Baadhi tayari walishaweka misingi ya kibishara zilizosimama watoto wameanza kurithi hata wajukuu pia.

●Ujanjaujanja, wizi na utapeli

●Nidhamu ya pesa, nidhamu ya matumizi na ubahiri

●Uthubutu na kujaribu

●Elimu

●Ushindani wa kimaendeleo
Uzi ufungwe, umeaua mulemule.
 
Niseme tu kwanza mimi sio mchaga na wala sina unasaba wowote na kabila hilo ila kiukweli nahusudu sana mafanikio ya wanaotoka kabila hili na kuwaomba watuanikie siri ya mafanikio yao.

Maana kama hizi shule wote tunasoma nao shule hizihizi tena wengi wao wala hawana maajabu huko madarasani ila wenzetu hawa mkikutana miaka kadhaa baadaye unakuta wewe upo hapa yeye yupo kuleee.

Siri nini wakuu? wengine tunakosea wapi?
Ukijua maana ya Chaga au wachaga umejibu swali lako
 
Tunafanikiwa kwa mambo mfano haya;

1. Kumcha Mungu, usisahau, yesu maria kama sehemu ya mshtuko kwetu

2. Nidhamu ya pesa, kiukweli tuna ubahili, hata wanawake wengi utasikia wewe mchaga, hamtoagi hela nyie wabahili kama nn

3. Kubebana na kupendana popote pale.

4. Mila na desturi zetu, tunazofanyaga each December almost ni kuchinja na mambo kama hayo.


NB: Jimbo liko wazi wakina dada njoo mgombanie
 
Niseme tu kwanza mimi sio mchaga na wala sina unasaba wowote na kabila hilo ila kiukweli nahusudu sana mafanikio ya wanaotoka kabila hili na kuwaomba watuanikie siri ya mafanikio yao.

Maana kama hizi shule wote tunasoma nao shule hizihizi tena wengi wao wala hawana maajabu huko madarasani ila wenzetu hawa mkikutana miaka kadhaa baadaye unakuta wewe upo hapa yeye yupo kuleee.

Siri nini wakuu? wengine tunakosea wapi?
Mkuu,
Wachaga (choosen tribe)
Ngoja caucasoid mie wa kichaga nisome comment 😊😊
 
Niseme tu kwanza mimi sio mchaga na wala sina unasaba wowote na kabila hilo ila kiukweli nahusudu sana mafanikio ya wanaotoka kabila hili na kuwaomba watuanikie siri ya mafanikio yao.

Maana kama hizi shule wote tunasoma nao shule hizihizi tena wengi wao wala hawana maajabu huko madarasani ila wenzetu hawa mkikutana miaka kadhaa baadaye unakuta wewe upo hapa yeye yupo kuleee.

Siri nini wakuu? wengine tunakosea wapi?
Nidhamu ya fedha, kunyanyuana pale mmoja anapokwama, vikao vya koo kila mwisho wa mwaka kuangalia penye mapungufu wapi ili pasijirudie mwaka unaofuata.
 
Kwanini msiseme mna mafanikio makubwa kwa SABABU wakoloni waliwekeza sana huko?
Mkuu,
Wakoloni waliwekeza Moshi kuliko Bukoba? wakoloni waliwekeza Iringa, Bukoba, Arusha, Njombe nk

Tofauti na mikoa mingine mandeleo unayoyaona Kilimanjaro yameletwa na wazawa wanajenga shule wenyewe hospitali, barabara na wanahakikisha watoto wanakula shuleni (kitu ambacho kimeshindikana maeneo mengi Tanzania) Kilimanjaro Elimu ni kipaumbele namba 1
Kuna nyuzi nyingi humu zinaeleza mfano;

Kuna uzi humu wananchi wa Vunjo walichanga bilioni 7 ili kujenga barabara yao (ulishawahi kuona hiki pengine?)

Marehemu mzee Mengi alikuwa anatoa maziwa kwa wanafunzi mashuleni, anasomesha na kujenga miundombinu.
Angalia pia Millard Ayo Tajiri Laswai alichofanya mashuleni Rombo.

Wilaya ya Rombo ndio inaongoza kuwa na shule nyingi Tanzania nzima
Zimejengwa na wananchiwananchi na wanahakikisha walimu wanapatikana kwa namna yoyoye hakuna kukaa kinyonge
Watu wa Kilimanjaro hawasubiri Serikali iwafanyie wanafanya wenyewe.
Hivi vyote ni wananchi wanafanya na wanasimamia wenyewe.

Hivi unajua mafundi wa magari wa kuaminika Tanzania nzima wako Moshi?, wanatengeneza yaliyoharibika, wanatengeneza matela mapya, wanaunga magari ya watalii nk
Gari inaweza ikashindikana Dar lakini sio Moshi, unadhani ni mkoloni? Nyumba nzuri zilizojengwa huko migombani zimejengwa na wakoloni?

NENDA KAJIFUNZE.!!
 
Niseme tu kwanza mimi sio mchaga na wala sina unasaba wowote na kabila hilo ila kiukweli nahusudu sana mafanikio ya wanaotoka kabila hili na kuwaomba watuanikie siri ya mafanikio yao.

Maana kama hizi shule wote tunasoma nao shule hizihizi tena wengi wao wala hawana maajabu huko madarasani ila wenzetu hawa mkikutana miaka kadhaa baadaye unakuta wewe upo hapa yeye yupo kuleee.

Siri nini wakuu? wengine tunakosea wapi?
Nawakumbusha Watanzania wote tupo third world country ukitoka nje ya hii mipaka mchaga hana tofauti yoyote na mmakonde.
 
Mkuu mafanikio ya wachagga ni yapi mimi niko hapa kilimanjaro sioni tofauti yake na Mwanza au mbeya, elezea mafanikio yao ni yapi?
Mkuu mafanikio ya wachaga huwezi kuyaona vizuri Eneo moja nenda huko huko Mwanza na MBEYA utawakuta haswa kwenye makanisa yao ya kkt
Ujaribu kuwachunguza vizuri
 
Back
Top Bottom