Wachaga nini siri ya mafanikio yenu?

Wachaga nini siri ya mafanikio yenu?

cha kwanza wanavipaji vikubwa sana kweny masuala ya fedha na uwekezaji mchaga anaweza aka ishia darasa la nne ila akili ya fedha na uwekezaji alinayo ata mtu wa chuo kikuu anaweza asimguse pili wachaga ni watu ambao hawachi furusa iwapitie haijarishe iyo fursa wanauwahika ita tiki au haita tiki wenyewe ni watu wakujaribu kama unabisha weka apa Tangazo la fursa ya Biashara na ajira uwone wachaga utakao wapata ila kuna watu wata comment uwongo na utapeli ila wachaga watakufwa pm nazani wachaga pia wanandaliwa toka wakiwa wadogo wawe wapambanaji kweny kutafta fursa cha mwisho kabisa wachaga hawachi tamaduni zao never and ever
 
Hawa jamaa wamewajaza ndugu zao daharini sana,pia kibosho na rombo kila nyumba inakichaa.usitamani mafanikio ya mtu..pambana na uangali kupitia Mungu utafanikiwa vip katika maleengo yako ila bidii na kujiongeza inamashiko sana katika mafanikio
Mimi naishi Dar kila siku nakutana na vichaa wazaramo na wandengereko mbona ndugu zao hawana kitu?

Kama issue ni kichaa huo ni ugonjwa tu kama magonjwa mengine hata kwenu unaweza kuzuka.
 
Nimeongea hayo nikiwa na 'Case studies' nyingi sana za kuwahusu, sijakurupuka.
Sijalalamika bali Nimeongea kitu ambacho ni cha kweli kipo na halisia.

Ni ukweli mchungu sana kuhusiana na Wachagga.
Kwahiyo , uliripoti polisi, pccb, TISS nk?
Hiyo magendo kutoka wapi?
Wanavunja bomba la TAZAM KIGAMBONI NA ILULA KUIBA MABILIONI YA LITA ZA MAFUTA NI wachagga?
Wanaohujuma TANESCO, na mkama mliamua kutoweka wachaga serikalini na kuna ufisadi uliopindukia ni kabila gani hilo huko CAG?
 
Wachaga wengi hawana huruma likija suala la maslahi, hata kama ni rafiki yake ukizubaa fursa yako anaifanya yake chap. Ni watu poa sana ila janja janja mingi na ukifanya nao kazi tenganisha suala la urafiki na pesa, anakupiga mengine yatafata baadae.
 
Nidhamu ya PESA

Maisha huwa yanwapendelea watu wenye self control Sana
Yap ukitaka kufanikiwa kama wachaga

1 take RISK na usiache fulsa.
2 Kuwa na nidhamu ya pesa.
3 Control your PENY(DICK) and STOMACH.
4.Achana na kukimbizana na wasichana stick na mwanamke mmoja Sahihi.

Habari za kusoma Mavitabu sijui RICH DAD POOL DAD katika mambo ya BIASHARA kwa wewe mtoto wa mkurima mtaji wa masikini ni nguvu zako mwenyewe vitakupotezea muda utaishia kuishi kwenye NDOTO tu na muda ymri unakwenda biashara ni kipaji kama huna kipaji usiwe mbishi ingia Field jifunze taratibu kwa waliopo kwenye game muda

Wachaga wanasimamia hizo falsafa hapo juu ndio mana wanafanikiwa
Wao wanainvest then wanakuja kuspend FAIDA hata kama itachukua miaka 10 kupata faida watasubiri tu kuliko kula bata msingi waje wakati hajafikia malengo yake
Ndo mana wanapenda SANA toyota enzi hizo TOYOTA STOUT zilikuwa za WACHAGA tu
Hili la kupenda vitu vinavyodumu hata mimi japo mzaramo ila wachaga wameniambukiza
Dadeki zao wachaga wao wanauza vitu feki lkn wenyewe wanatumia vitu OG mkataba
 
Mkuu mafanikio ya wachagga ni yapi mimi niko hapa kilimanjaro sioni tofauti yake na Mwanza au mbeya, elezea mafanikio yao ni yapi?
Upo njooro ya Pepsi au Njoro ya Dobi?
Huwa unaishia hapo Kalimani, Relini au Stendi ya Mboya?
WAchaga hawaandiki mali zao kwenye paji la uso.
 
Yah , watu wanaweza kusema mambo mengi ,Kama kukwepa kodi, magendo, wizi, n.k

Ila kitakachobeba mambo yote bado itakuwa nidhamu ya PESA.

So nidhamu ya PESA ndo imeshikilia uchumi wa MTU mmoja mmoja .
Tia nyama kidogo mkuu mkuu ..nidhamu ya pesa ni kufanya nini na nini na kuacha nini?
 
Wachaga wengi Wana elimu ya pesa huu ndio msingi
Siyo elimu ya darasani tu,bali ya kujifunza kitaa;

Wamiliki wengi wa kampuni za utalii walianza kama fly ketcher, wakapanda mlima kama wagumu, wakawa guides, wakafungua kampuni saa hizi ni mamilionea alafu anakuja mgogo mmoja na msukuma wanaomba omba barabarani huku wakisema wachaga ni wezi.
 
cha kwanza wanavipaji vikubwa sana kweny masuala ya fedha na uwekezaji mchaga anaweza aka ishia darasa la nne ila akili ya fedha na uwekezaji alinayo ata mtu wa chuo kikuu anaweza asimguse pili wachaga ni watu ambao hawachi furusa iwapitie haijarishe iyo fursa wanauwahika ita tiki au haita tiki wenyewe ni watu wakujaribu kama unabisha weka apa Tangazo la fursa ya Biashara na ajira uwone wachaga utakao wapata ila kuna watu wata comment uwongo na utapeli ila wachaga watakufwa pm nazani wachaga pia wanandaliwa toka wakiwa wadogo wawe wapambanaji kweny kutafta fursa cha mwisho kabisa wachaga hawachi tamaduni zao never and ever
Kwel unakuta watoto wadogo wanashindana nani ana sungura nyingi.
 
Back
Top Bottom