Sio sifa mzee jamaa wengi wao wamepiga hatua na zinaonekana dhahiri.Wabongo wanapenda sifa tu! Hao Wachaga hawana tofauti na makabila mengine sifa tu ndo zimewazidi!
Acha niende nikaongee na wazee wa wazee wangu bila kuogopa your sweet but judgemental eyes.
Supu ntakutumia huko huko mjini.
Mkuu unataka kusema kua wachaga ndio kabila pekee nchi hii linalofanya matambiko? Mbona kila kabila na jinsi yake tena wengine ni washirikina wanaosifika ila kwa maendeleo hawawakuti wachaga?Hapa umetushika masikio...
Matambiko na zile mishemishe za kuongea makaburini mkirudi migombani huwa unaona jambo la kawaida sio?
🥱🥱🤦♂️🤦♀️😭😭😭😭😭😭😭😭Hayo matambiko ndio asili yetu wachaga walio yaacha hawana lolote chunguza
Wazaramo wanashindani nani kakariri nyimbo za wasaga sumu.Kwel unakuta watoto wadogo wanashindana nani ana sungura nyingi.
Ni vizuri mkuu tutakuja pata kina diamond wengiWazaramo wanashindani nani kakariri nyimbo za wasaga sumu.