wizzy more
JF-Expert Member
- Nov 27, 2016
- 427
- 187
Waimba taarabu ni ccm na bashity yao pamoko na kichwa samaki waangalie
Tulimpigia wengi tu ila tumemchokaUlimpigia kura 2015??
Wewe utakuwa umevurugwa sio bureMdee, Bulaya, Mnyika, Lema
Family life is personal
Sema nime.... sio tume**Tulimpigia wengi tu ila tumemchoka
Mm binafsi sioni haja ya vikao vya Bajeti , vinaigarimu nchi tu.Kwa maoni yangu, sidhani kama kuna haja ya kuwa na wabunge bali makatibu wa wizara wanatosha maana ndio wanaandaa bajeti za wizara zao na kupitishwa na wabunge bila kupingwa!
Halima mdee nawe hawez rudi,binafsi nimechoka michezo yake hamna LA mana afanyalo yy kazi ugomvu,hatujamtuma ugomvi.