Wabunge wenye hali mbaya "Uchaguzi 2020"

Punguza bangi kama hauwezi kuacha kabisa! Unaelewa anachokifanya Halima hata wewe pamoja na kuwa ni mwanaume (kama sijakosea!) Hauwezi kudhubutu kukifanya!

kwa waelewa, Halima Mdee na Ester B hakuna sababu ya kuwapa nafasi tena, wajiandae kuwa na familia, alafu warudi tena baada ya miaka 5 yaani 2025, kwa sasa nadhani wana double standards kati ya depression ya kuwahudumia wananchi na kuanza maisha ya ndoa, let us give them more time to adjust for effective family and civic accountability.
 
Punguza bangi kama hauwezi kuacha kabisa! Unaelewa anachokifanya Halima hata wewe pamoja na kuwa ni mwanaume (kama sijakosea!) Hauwezi kudhubutu kukifanya!
unasifia mtu ajuaye vurugu tu hana chochote cha kusaidia jimbo lake
 
Punguza bangi kama hauwezi kuacha kabisa! Unaelewa anachokifanya Halima hata wewe pamoja na kuwa ni mwanaume (kama sijakosea!) Hauwezi kudhubutu kukifanya!
unasifia mtu ajuaye vurugu tu hana chochote cha kusaidia jimbo lake
 
kwa waelewa, Halima Mdee na Ester B hakuna sababu ya kuwapa nafasi tena, wajiandae kuwa na familia, alafu warudi tena baada ya miaka 5 yaani 2025, kwa sasa nadhani wana double standards kati ya depression ya kuwahudumia wananchi na kuanza maisha ya ndoa, let us give them more time to adjust for effective family and civic accountability.
best comment of the day.
big up
 
Achemi kudanaganyana hapa wananchi hawawachagui wabunge kwa ubora wao bali kwa mahaba ya vyama wanavyo wakilisha ingekuwa mbunge anachaguliwa kwa ubora sioni popote msukuma ,lusinde na wa ccm kutoka znz ambao utafikiri wamechaguliwa bungeni kukaa kimya na kuunga mkono kila kitu wakichaguliwa tena!

kwa asilimia kubwa ni kweli, na huu ndio wakati wakucahgua wawakilishi wenye fikra za wananchi, au wenye utayari wa kutafuta fursa zitakazowanufaisha wananchi, binfsi nadhani Lusinde in fact kwa lugha zake tata, asingefaa kurudishwa na chama chake in 2020 party coccus selection meetings.
 
Wabunge watakao baki ni wale wanao weza kasi ya Magufuli. Hapa hamna cha wabunge wa CCM wala upinzani. Wa CCM ndio shida zaidi maana uteuzi ndani ya CCM utakuwa mgumu sana tutarajie sura mpya,maana jamaa amewaambia akisikia nyau ya rushwa tu, jina halirudi . Atawakata kama Lowasa.Kwa upinzani nao wakae chonjo maana watawekewa vichwa Toka CCM. Bunge la 2020 litakuwa na sura mpya sana. Vijana wakae mkao wa kula maana ubunge sio dili sana wasomi hawatakimbilia wala matajiri maana wengi walitafuta ubunge kwa maslahi binafsi.
 
Tatizo hapa ushabiki sio hoja...mngekuja na hoja sawa..ila huu ubabaishaji wenu wa uchama tunaondoa mana halisi ya mjadala
Kwel mkuu,ulikuwa ni uzi mzuri, pongezi kwa mleta huu uzi sema watz wengi wetu tunapenda sana mahaba pasipo ku reason,ndo kinachotokea hapa ni mahaba tu bila kujiuliza umewakilishwa vipi na mbunge wako.Je uchaguzi ujao atafaa kukuwakilisha?
 
Mkuu tuwe fair ili tuwasaidie baadhi ya wabunge wetu tunaowapenda, tukileta mahaba hatutawasaidia.
Ukweli ni kwamba majimbo mengi ya vijijidi kama kwa lusinde bado yataendelea kubaki ccm kwa sababu nyepesi tu - uelewa wa watu huko bado ni mdogo, na pia mahaba yao kwa chama tawala ni ya kihistoria!.
Tukirudi kwenye majimbo ya mijini, hasa majiji makubwa huko watu wengi huwa hawana msimamo - wanapenda kumuona mbunge wao yupo active ktk kuwaondolea kero zao mbalmbal (bunge lililopita mnyika alifanya vzr eneo hili, hasa kero ya maji ubungo).
Majimbo ya mijini wapiga kura huwa ni vigumu kdg kuwadanganya (mjini shule!)
Kwa maoni yangu, wapinzani wengi mpaka sasa bado hawajafanya vzr majimboni mwao - na wakiendelea na "kasi" hii 2020 wengi watapukutika bungeni!!
Kwa upande wa chama tawala wao kdg ni tofauti, baadhi wanaweza kusalimika kwa upepo wa ngosha, ikumbukwe ngosha kwa kasi hii 2020 Mungu akituweka hai hatakuwa na mpinzani!!
mmmmh, inawezekana Ngosha asiwe na upinzani kwani kaamua kuufutilia mbali mapema. Ila bado ni mapema sana kufanya hii tathmini na tuwe na subira kidogo kwani kwa ujumla wake wabunge karibu wote hawatimiza majukumu yao kiasi cha kuwa na tathmini ya kutosha.
 
unasifia mtu ajuaye vurugu tu hana chochote cha kusaidia jimbo lake
Misaada kwa ajili ya wananchi wake ulitaka iwe ni fedha au kuwawezesha kumiliki njia zao za kimaisha? Sina uhakika kama hauongei kiushabiki
 
Jaffar Michael anaenda sambamba na ahadi alizoahidi likewise to Lema so utawaondoa kwa kigezo kipi?Na siasa za haya maeneo Ccm wanazitambua kua they are not wanted so watahitajika wafanye manouvre za ajabu ili kuwatoa hao jamaa wawili..Selasini ndo atakua na wakati mgumu maybe na huyo Dr Mollel pia na Anthony Komu.
labla ni kuambie kitu, faida wanazotemebela hawa wajameni kwa majimbo haya ni kutokana na ustawi wa huduma za kijamii na uelwea wa watendaji katika kutimiza majukumu yao. Hivyo kimsingi hawa jamaa hawana chamgamoto nyingi znazoyakumba majimbo yao. Bali kwa sasa kutokana na mihemko ya mabadiliko na pressure ya ukosefu wa fedha pamoja na hisia za wananchi kutaka next best level of development basi, hawa jamaa hawawezi kwenda na minds of social changes hivyo lazima wakaze buti, sasa labada wananchi waeleze nini haswa hawa wajamen wamekifanya as a strategic intervention ktk kuhimiza livelihood improvements, bla shaka ni hola....
 
Nilikua mkoani sikumpgia binafsi na makazi huko jimbo la kawe,yaan mkuu ukiona yaliyopo huko utashangaa is it Dar es Salaam?hafai mkuu wanakawe inabid tu kufumbua macho kumkata hamna namna.
Hiyo Kawe kaikuta ina maendeleo Mdee kayaharibu au alivyoikuta ndiyo ulivyo? Wa Jana aonekane kashindwa n.a. wa ujuzi awe bora,maajabu ya Bongo!
 
Kuna mbunge wa CCM kuleee segerea alinipa mpaka papuchi ili nisaini matokeo ya uongo waliyochakachua..magundi nikampakaza tena kwenye gari na matokeo sikusaini lakini eti akatangazwa kashinda...
We Jombaa ni noma,kumbe huwa unapakaza watu gundi duuuu!
 
kwa waelewa, Halima Mdee na Ester B hakuna sababu ya kuwapa nafasi tena, wajiandae kuwa na familia, alafu warudi tena baada ya miaka 5 yaani 2025, kwa sasa nadhani wana double standards kati ya depression ya kuwahudumia wananchi na kuanza maisha ya ndoa, let us give them more time to adjust for effective family and civic accountability.
Family life is personal
 
Kwa maoni yangu, sidhani kama kuna haja ya kuwa na wabunge bali makatibu wa wizara wanatosha maana ndio wanaandaa bajeti za wizara zao na kupitishwa na wabunge bila kupingwa!
 
Jafari wa moshi sidhan kama atarudi,Mbatia nae harudi,lema harudi,Ester Bulaya harudi,Nape harudi coz ccm watamkataa kwenye kura za maoni,Mdee na kubenea nao hawatorudi pia
 
Back
Top Bottom